Wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma vs Binafsi

Upo sahihi mkuu, labda inategemea pia na aina ya kozi ambayo mtoa hoja anajaribu kuziungumzia..kwa ujumla ukienda vyuo vingi vya umma vinajitosheleza kwa kiasi kikubwa na ufuatiliaji wa mitaala.
 
Mod jamani mbona husikii kilio cha watuuuuu!!! tuliashasema thread zinazohusu ubora wa vyuo ziondolewe.

Kwani nkazi ya jukwaaa lka Elimu ni nini???? wewe utakuwa ni mtanzania wa aina gani usiyetaka changamoto???
 
vyuo vya kibongo vyote uozo mtupu na ubabaishaji......tunasoma kwa nadharia ila practical hamna kitu kama unabisha mtafute mtu anayesoma it au computer science mpe kazi ya kitendo ......yaani utacheka anachokifanya

Umenifurahisha saana: nimewahi kufanya kazi last year na m2 mwenye degree ya comp science, 1 day akawa ananiuliza 'hiv bootable CD ndio nini?'
 
Umenifurahisha saana: nimewahi kufanya kazi last year na m2 mwenye degree ya comp science, 1 day akawa ananiuliza 'hiv bootable CD ndio nini?'

huyo atakua degree holder wa vijichuo uchwara,ukienda mavyuo ya umma hapa TZ yote yamejaa majembe na ukija kwenye ishu za taaluma ndio toka watoto wako fiti,inaonesha hiyo ofisi ni kijibanda tu ka mtaani maana kama ni ofisi ya maana huwezi kuajiri KILAZA kama huyo.
 
vyuo vip bora kati ya vya umma na binafsi kwa sasa kawaulizeni ma afisa uwajili watawambia hivyo vya umma vinatoa nini na vya binafsi vinatoa nini tuache mawazo ya kiujumla na jambo la mwaka 2000 usilizungumzie leo mwaka 2011 ulimwengu umebadilika sasa tunaangalia uwezo wa mtu si chuo gani watoto wa vyuo vya umma na binafsi wote majibu ya assigment zao wanadesa google sasa sijui mnaongea nini
 
Umenifurahisha saana: nimewahi kufanya kazi last year na m2 mwenye degree ya comp science, 1 day akawa ananiuliza 'hiv bootable CD ndio nini?'

sasa mpaka chuo kama tumain nao eti wanatoa degree ya IT,unategemea nin hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…