NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
ukistaajabu ya eeka mangi utayaona nilhad rashed. We njoo tu bana ntakusamehe. Babu huwa anawapenda wajukuu zake ati!
Kwa upande wangu nadhani mambo ya kufelishwa eti umemkataa lecturer? inaweza kuwepo lakini kwa wanawake ambao hawana msimamo, wewe kama umefanya kazi yako vizuri na majibu ni yenyewe atakufelishaje? vyombo vya kutetea wanafunzi si vipo? Labda na wewe ukiwa na hako ka roho ka uzinzi utafanya, lakini kama kweli unauchukia uzinzi mie nadhani haki itatendeka hata Mungu atakuwa upande wako.
Kwa wale wanaojilengesha na wenyewe wapo wanaotaka vitu vya mtelemko, na hii tabia inaendelea hata huko makazini watu kama hao wapo katika jamii zetu. Kwake kutoa rushwa ya ngono haoni tatizo kabisa. Kama dada atakuwa na msimamo thabiti hakika hawezi kufelishwa kabisa!! Kwani huyo lecturer naye haogopi kufukuzwa kazi?
kaka/ dada, lecturer akipania anaweza kufanya lolote hata kama umefanya vizuri,,hakosi hata kukwambia course work yako ni incomplete labda inamiss either assign au test,,,na hilo anakwambia last mnt!!ambapo mpaka umpelekee vithibitisho umekoma!ingawa wengi pia wanajilengesha ili kupata favour.
nimekuwa nikisikilza kimasomaso bbc kuwa lecturers wa vyuo huwataka kimapenzi mabinti wasomao vyuoni na kama wakikataa wanawafelisha . Pia kuna kina dada ambao hujilengesha moja kwa moja kwa lectures ili kuwapata kimapenzi wawezeshwe kufaulu mitihani yao.
Imeniuma sana na kuona wakina dada wanadhalilishwa na kujidhalilisha katika hili
je wadau mnasemaje kuhusu hili?
Nyie kwa kulalamika,loh. Kila m2 anakula kwa urefu wa kamba yake. Waache wale kukuz.... mbona sekondar matcha wanalamba madent, ni k2 cha kawaida!
hapa nitakuwa na la kusema baadaye...
Suala la kutakana kingono sio vyuoni tu hata makazini.
Kujilengesha unamaanisha nini? Nafikiri unapopenda halafu unashindwa kuvumilia ndio unaanza kujilengesha.
Wakati unamtaka mrs kimbweka hukuanza kujilengesha wewe kweli?
Ni vibaya kama hao madenti tayari wapo kwenye mahusiano halafu bado wanadate na hao walimu.
Ila kupenda sio dhambi.
Digrii chupi... ipo kwa sana tu... ndo maana wakufunzi wafwa sana!!!Nimekuwa nikisikilza kimasomaso BBC kuwa lecturers wa vyuo huwataka kimapenzi mabinti wasomao vyuoni na kama wakikataa wanawafelisha . Pia kuna kina dada ambao hujilengesha moja kwa moja kwa lectures ili kuwapata kimapenzi wawezeshwe kufaulu mitihani yao.
Imeniuma sana na kuona wakina dada wanadhalilishwa na kujidhalilisha katika hili
Je Wadau mnasemaje kuhusu hili?
ha ha ha ha ha habari yake cheameni