Wanafunzi waandamana

Jamiix

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
940
Reaction score
666
WanaJF
Nimekutana na wanafunzi wengi sana wakiandamana na mabango yaliyoandikwa
' HATUMTAKI MWALIMU MKUU ' wakielekea kwa mkuu wa mkoa,wamesimamishwa na
Polisi na FFU
eneo la Sakina kwa Idd,Arusha

Wapo viongozi wakubwa wa polisi na defender zao wanawazuia,vijana wamechachamaa

Wanalalama ' TUNATAKA HAKI ZETU,TUMECHOKA KUNYANYASWA '

Shule ya sekondari KIMNYAK
Mwalimu mkuu Chamle
Nawakilisha
 
Mod ni PM nikutumie picha za tukio husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…