round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Pamoja na demand ndogo ya taifa letu kupokea wanafunzi wa nchi za nje lakini katika hao, sehemu kubwa wananyooka moja kwa moja Udsm, Ni kwamba hawaoni vyuo vingine ?
Byuo vingine ni nadra sana na ukiwakuta labda ni wa Burundi, Msumbiji, n.k.
Nikianza kushusha hapa Alumni waliomaliza UDSM list ni ndefu na sio watu wa kawaida, wengine ni marais wa nchi
Byuo vingine ni nadra sana na ukiwakuta labda ni wa Burundi, Msumbiji, n.k.
Nikianza kushusha hapa Alumni waliomaliza UDSM list ni ndefu na sio watu wa kawaida, wengine ni marais wa nchi