Wanafunzi walia na mikopo yao

Freightliner

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
720
Reaction score
527
Wanafunzi wa udom wanalalama kutokupata boom lao hadi leo na hawajui hatma yao nn...jaman waziri wa mikopo hasa college ya education sikia kilio cha watu wako.
 
Tena kibaya zaidi chuo hakina hata rikizo fupi kwa ajiri ya skukuu!kwahiyo wanafunzi wapo tu chuoni nahawana hela!
 
Kifuatacho ni kuingia barabaran tu tena ntaongoza hiyo kitu dadeki
 
Wanafunzi wa udom wanalalama kutokupata boom lao hadi leo na hawajui hatma yao nn...jaman waziri wa mikopo hasa college ya education sikia kilio cha watu wako.

nawahakikishia mkiendelea kuogopa hivyo visheria vilivyowekwa kamwe hamtopata haki yenu...nilikuwepo kwenye ule mgomo mkubwa na kinamwakibinga wakaniondoa sasa nipo mlimani elimu inaendelea...
 
Hata st Joseph vichefuchefu tu watu up to now hatujapata boom cjui hawa watu wanawaza nn watu tukianzisha timbwil cjui atalizma nan coz tupo fit
 
Je mmeshindwa kuuliza uongozi wa chuo, pamoja na uongozi wa serikali ya wanafunzi?? Huyo 'waziri' anaishi hapo chuoni? Ikiwa kama hamuwezi kuhoji kwa kina jambo kama hili, je mtaweza kumhoji Mbunge?
Naona hatari kubwa ya kushindwa kudai haki ikiliandama taifa.
 

hawa viongozi wanajiona ni km wafalme wa chuo hiki yaan ful kujidai na kejeli nyingi,majibu yasiyoridhirisha imekuwa kawaida sana kwao
 
SAUT- MWANZA shida tupu lakushangaza wengine wamepata wengine tumebaki kupigwa tarehe
 
MWENGE UNIVERSITY(sauti Branch Moshi) bum la pili liliingia tar 20/12/2013.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…