Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,944
- 2,459
Philipo Mulugo nw wa elimu na mafunzo ya ufundi stad kasema wasiripoti shuleni na watakaoripoti wapewe mtihani wa kusoma kwanza
Hivi inakuwaje mwanafunzi afaulu kwenda sekondari pasipo kujua kusoma?Kwa maelezo ya Mulugo ni wazi serikali inakiri inawezekana sasa kwanini udhibiti usifanyike kule wanakotoka badala yake wadhibitiwe kule waendako?
Source taarifa ya habari TBC1 inayoendelea sasa hivi.
Nawasilisha
Hivi inakuwaje mwanafunzi afaulu kwenda sekondari pasipo kujua kusoma?Kwa maelezo ya Mulugo ni wazi serikali inakiri inawezekana sasa kwanini udhibiti usifanyike kule wanakotoka badala yake wadhibitiwe kule waendako?
Source taarifa ya habari TBC1 inayoendelea sasa hivi.
Nawasilisha