Wanafunzi waliofaulu mtihani wa darasa la saba bila kujua kusoma na kuandika

Wanafunzi waliofaulu mtihani wa darasa la saba bila kujua kusoma na kuandika

Idimulwa

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2011
Posts
4,944
Reaction score
2,459
Philipo Mulugo nw wa elimu na mafunzo ya ufundi stad kasema wasiripoti shuleni na watakaoripoti wapewe mtihani wa kusoma kwanza

Hivi inakuwaje mwanafunzi afaulu kwenda sekondari pasipo kujua kusoma?Kwa maelezo ya Mulugo ni wazi serikali inakiri inawezekana sasa kwanini udhibiti usifanyike kule wanakotoka badala yake wadhibitiwe kule waendako?

Source taarifa ya habari TBC1 inayoendelea sasa hivi.

Nawasilisha
 
Mwaka huu wizara ya elimu imetunga mtihani wa darasa la saba wa mtindo wa multiple choice kwa masomo yote ikiwemo hisabati/hesabu, na hivyo kurahisisha kuibia majibu, kukisia majibu na kuweza kushinda hata kwa bahati tu za kudra ya mtu. Kwenye mtihani wa multiple choices yenye majibu manne kwa kila swali likiwemo jibu moja sahihi kila mtoto ana 25 % chance ya kupata jibu sahihi hata kwa kukisia tu. Kama wizara inabisha basi ifanye jaribio uitoe nakala za mitihani hii kwa machinga, wapiga debe, etc pale ubungo stend na wawachague wale ambao hawakuweza kuvuka darasa la nne wawape huo mtihani, si ajabu ukapata pass rate ya 75 % au zaidi just by sheer lukcy. Tanzania ni zaidi ya uijuavyo!!!
 
mwaka huu wizara ya elimu imetunga mtihani wa darasa la saba wa mtindo wa multiple choice kwa masomo yote ikiwemo hisabati/hesabu, na hivyo kurahisisha kuibia majibu, kukisia majibu na kuweza kushinda hata kwa bahati tu za kudra ya mtu. Kwenye mtihani wa multiple choices yenye majibu manne kwa kila swali likiwemo jibu moja sahihi kila mtoto ana 25 % chance ya kupata jibu sahihi hata kwa kukisia tu. Kama wizara inabisha basi ifanye jaribio uitoe nakala za mitihani hii kwa machinga, wapiga debe, etc pale ubungo stend na wawachague wale ambao hawakuweza kuvuka darasa la nne wawape huo mtihani, si ajabu ukapata pass rate ya 75 % au zaidi just by sheer lukcy. Tanzania ni zaidi ya uijuavyo!!!

we mama we! Hata vyuo vikuu kuna multiple choices.
 
we mama we! Hata vyuo vikuu kuna multiple choices.

aaah bwna we hayo masihala,multiple choice kwenye hisabati?Hebu sema ni chuo gani na ni course gani ya hesabu ina multiple choice!
 
ww sio darasa la saba-----hata kuna wanafunzi wanamaliza vyuo vikuuuu tena degree na masters
1.hawajui kuongea na kuandika kiingeleza kwa ufasahaaa

2.wakiandika waanandika miandiko mibaya kuliko mtoto wa darasa la tatu

3.hawawezi kujieleza mbele ya hadhira


hivi.......hili swala ulioni
 
Mkuu, kutokujua kiingereza si kigezo cha kuwa mtu hajasoma au hajui kuandika/kusoma. Na mwandiko mzuri kama ilivyo kwa uwezo wa kujieleza mostly ni kipaji.

Naweza nikawa na hati mbaya kupita maelezo na nikashindwa kujieleza hadharani lakini bado nikawa kipanga.

ww sio darasa la saba-----hata kuna wanafunzi wanamaliza vyuo vikuuuu tena degree na masters
1.hawajui kuongea na kuandika kiingeleza kwa ufasahaaa

2.wakiandika waanandika miandiko mibaya kuliko mtoto wa darasa la tatu

3.hawawezi kujieleza mbele ya hadhira


hivi.......hili swala ulioni
 
Hivi ni ipi dhamira ya siri kali kuwapa tena mtihani hao waliofaulu? na ikitokea wakapatikana watakaofeli nini hatma yao? wataendelea na masomo ya secondari au itakuwaje?this is politics than a real situation
 
Back
Top Bottom