tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Kuna tetesi zilizoenea huku mtaani na pale UDSM kwamba hii fukuza fukuza ya wanafunzi ni malipizi ya JK baada ya kuzomea alivyoenda kupewa degree ya heshima. Inasemekana Museven alimuuliza JK "hawa wanaokuzomea unawalipia ada?" JK alijibu "ndiyo" Museven aliendelea "ingekuwa Uganda ningewafukuza wote hawa na kudahili wengine"...Je inawezekana JK alifuata ushauri wa Museven? Maana wanaomjua wanadai ni mtu wa visasi sana. Nawasilisha.
Historia itakuja msuta tu.Watu hawana pesa wataishije?Rais kutwa kiguu na njia!!!!Lakini Hawezi laumiwa pekee yake,Prof.wa siasa Mukandara Kuongoza pale kusikohitaji siasa nalo ni Ombwe la kiungozi.Tazama japo hata wakati wa Luhanga kulikuwa na migomo lakini haikuwa so critical to that pointi.Kwangu Mimi hata Mukandara ni JANGA la kitaifa kwa Elimu ya nchi hii!!!!Poleni vijana wezangu mliofukuzwa,Wanasonga mbele kurudisha nyuma elimu yetu.Kama Edward Ngoyai Lowassa ni MCHAFU,basi Jakaya Mrisho Kikwete ndio UCHAFU WENYEWE!!!
Mh,
mu 7 alimuuliza pale nkrumah au mlimani city?
Kuna tetesi zilizoenea huku mtaani na pale UDSM kwamba hii fukuza fukuza ya wanafunzi ni malipizi ya JK baada ya kuzomea alivyoenda kupewa degree ya heshima. Inasemekana Museven alimuuliza JK "hawa wanaokuzomea unawalipia ada?" JK alijibu "ndiyo" Museven aliendelea "ingekuwa Uganda ningewafukuza wote hawa na kudahili wengine"...Je inawezekana JK alifuata ushauri wa Museven? Maana wanaomjua wanadai ni mtu wa visasi sana. Nawasilisha.
ilikuwa Nkurumah mkuu
Na BUKOBA kuna wafunzi 5 wamefukuzwa shule walihudhuria kongamano liliandaliwa na CDM wamefukuzwa hii serikali ni nuksi
Ila museven anachoshangaa ni kipi?
Hata yeye na Maghembe walilamba zomeazomea hapohapo nkrumah!
JK siyo mtu wa visasi na siyo mtu wa kuendesha ofisi kimajungu na fitina watu hawajamuelewa ndiyo maana wanavumisha kwamba yeye ndiyo alikuwa anamchafua Dr Salim na Sumaye kwa njia za propaganda na magazeti ili aweze kupita yeye kuwa Rais, na wengine wanavumisha kwamba ni mbinafsi anashirikiana na watu katika kufanya maovu lakini akipata tu anachokitaka anakugeuka hata kama itamaanisha uawe au ufe kisiasa kama inavyodaiwa kamgeuka Lowassa, kwahiyo na hisi hata hii wanafunzi siyo kwamba analipiza kisasi na wengine wanaenda mbali kwamba katika kipindi chake swala la udini lipo juu sana kutokana na uwezo wake mdogo wa kuongoza nchi hivyo kuamua kuingiza propaganda za kidini kama defensive mechanismKuna tetesi zilizoenea huku mtaani na pale UDSM kwamba hii fukuza fukuza ya wanafunzi ni malipizi ya JK baada ya kuzomea alivyoenda kupewa degree ya heshima. Inasemekana Museven alimuuliza JK "hawa wanaokuzomea unawalipia ada?" JK alijibu "ndiyo" Museven aliendelea "ingekuwa Uganda ningewafukuza wote hawa na kudahili wengine"...Je inawezekana JK alifuata ushauri wa Museven? Maana wanaomjua wanadai ni mtu wa visasi sana. Nawasilisha.
Na BUKOBA kuna wafunzi 5 wamefukuzwa shule walihudhuria kongamano liliandaliwa na CDM wamefukuzwa hii serikali ni nuksi