data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,858 Reaction score 23,768 Feb 17, 2012 #1 Taifa hili laenda wapi jaman.. Imetokea huko Bagamoyo.. Source-@ TBC fm. Magazeti.
Angel Msoffe JF-Expert Member Joined Jun 21, 2011 Posts 6,781 Reaction score 1,647 Feb 17, 2012 #2 eleza habari kamili bana
iron2012 JF-Expert Member Joined Feb 16, 2012 Posts 501 Reaction score 208 Feb 17, 2012 #3 ni vizuri kutoa habari kamili ili kujua nini hasa kilipelekea kubaka mkuu
M massau Member Joined Feb 5, 2012 Posts 8 Reaction score 0 Feb 17, 2012 #4 Taifa tunalipoteza ss wenyewe kwani walimu wengi hawajiheshimu katika mavazi waingiapo darasani hasa wa kike,
Taifa tunalipoteza ss wenyewe kwani walimu wengi hawajiheshimu katika mavazi waingiapo darasani hasa wa kike,
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Feb 17, 2012 #5 iron2012 said: ni vizuri kutoa habari kamili ili kujua nini hasa kilipelekea kubaka mkuu Click to expand... Nimeisoma katika gazeti mwananchi, haijaelezwa kisa ni nini ila wanafunzi 8 wamembaka mwalimu wao kwa zamu na kesi yao ndio ipo mahakamani.
iron2012 said: ni vizuri kutoa habari kamili ili kujua nini hasa kilipelekea kubaka mkuu Click to expand... Nimeisoma katika gazeti mwananchi, haijaelezwa kisa ni nini ila wanafunzi 8 wamembaka mwalimu wao kwa zamu na kesi yao ndio ipo mahakamani.
N ngony Senior Member Joined Feb 7, 2012 Posts 153 Reaction score 17 Feb 17, 2012 #6 wanafunz wengi siku hz wanavuta bangi