Wanafunzi wanachamia makaratas na manyas jimboni kwa waziri mkuu-mbunge

Bajabiri

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
9,728
Reaction score
1,204
Mbunge wa viti maalum chadema bi anamery stlla amesema kuwa kuna wanafunz wanachmaba kwa kutumia manyasi na majan shuleni kwao kwa sababu ya kukosa maji,,,,,,
yeboooo,,,,,,halafu mama akasema jamaniiiiii
 
Mbunge wa viti maalum chadema bi anamery stella amesema kuwa kuna wanafunz wanachamba kwa kutumia manyasi na majani shuleni kwao kwa sababu ya kukosa maji,,,,,,pia amesema kwamba,kwa sasa maeneo mengi ya vijijin licha ya kukosa nyumba za walimu,hata mweza walimu hawana,matokeo yake walimu wanakalia madawati wawapo ofisini,
My take:KUCHAMBA KWA KUTUMIA NYASI NA KARATASI KWA ZAMA ZA SASA......?????
 
Mbunge wa viti maalum chadema bi anamery stlla amesema kuwa kuna wanafunz wanachmaba kwa kutumia manyasi na majan shuleni kwao kwa sababu ya kukosa maji,,,,,,
yeboooo,,,,,,halafu mama akasema jamaniiiiii
Tulia basi ueleze unachotaka tujue. Sasa nitachangia nini hapa?
 
hahahahah
 
Pengine tukisema CCM imeshindwa kuongoza na kuboresha nchi tutakosea?Tuwe makini.Kanga,kofia,fulana sio maendeleo....
 

Mbona kwetu ni kawaida, uchambie maji? what a waste of the most precious resource
 
bora hao, huku kwetu wanafunzi wanachambia mawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…