Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 373
- 829
Serikali ikiendelea kupiga hatua dhidi ya uboreshaji wa elimu Tanzania mkoa wa mwanza unakabiliwa na changamoto wanafunzi kukaa mda mrefu kwenye vituo vya magari kwa kukosa kipaumbele mda wa jioni hasa kipindi cha mitihani ya taifa.
Adha hiyo hutokana na wanafunzi kutokupewa kipaumbele cha usafiri mda wa jioni kusababaisha wanafunzi kukaa mda mwingi kwenye vituo vya magari.
Changamoto kama hizo husababisha uchovu na kusababisha wanafunzi kukata tamaa kwani hawapewi kipaumbele ukizingatia wanao toka kwenye mtihani yao.
changamoto hizo zimeshudiwa hivi karibuni wanafunzi wa kidato cha pili wakiomba msaada kwenye kituo cha usafiri natta lakini kondakta hawakutia maanani.
Kuelekea mitihani ya kidato cha nne serikali inatakiwa kuchukua hatua ili kuhakikisha wanafunzi wanapewa kipaumbele hasa majira ya jioni pindi wanapo toka kufanya mitihani.
vilevile serikali inatakiwa kutoa elimu sahihi kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri nyakati za mitihan wanafunzi wanatakiwa kupewa kipaumbele ili kuondoa changamoto zinazotokea.
Hali imekuwa ni endelevu hata kabla ya mitihani kwani daradara zimekuwa zikiwaacha katika vituo jambo ambalo huweza kuwaathiri kitaaluma.
Vilevile kipindi cha asubuhi huchukua mda mrefu kufika shuleni hivyo inakuwa changamoto kwao serikali inatakiwa kutoa elimu sahihi kwa lengo la kusaidia wanafunzi wanapokuwa katika masomo yao.
Adha hiyo hutokana na wanafunzi kutokupewa kipaumbele cha usafiri mda wa jioni kusababaisha wanafunzi kukaa mda mwingi kwenye vituo vya magari.
Changamoto kama hizo husababisha uchovu na kusababisha wanafunzi kukata tamaa kwani hawapewi kipaumbele ukizingatia wanao toka kwenye mtihani yao.
changamoto hizo zimeshudiwa hivi karibuni wanafunzi wa kidato cha pili wakiomba msaada kwenye kituo cha usafiri natta lakini kondakta hawakutia maanani.
Kuelekea mitihani ya kidato cha nne serikali inatakiwa kuchukua hatua ili kuhakikisha wanafunzi wanapewa kipaumbele hasa majira ya jioni pindi wanapo toka kufanya mitihani.
vilevile serikali inatakiwa kutoa elimu sahihi kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri nyakati za mitihan wanafunzi wanatakiwa kupewa kipaumbele ili kuondoa changamoto zinazotokea.
Hali imekuwa ni endelevu hata kabla ya mitihani kwani daradara zimekuwa zikiwaacha katika vituo jambo ambalo huweza kuwaathiri kitaaluma.
Vilevile kipindi cha asubuhi huchukua mda mrefu kufika shuleni hivyo inakuwa changamoto kwao serikali inatakiwa kutoa elimu sahihi kwa lengo la kusaidia wanafunzi wanapokuwa katika masomo yao.