Wanafunzi wawili wa kike watelekezwa 'guest'

Una watoto?ndugu wadogo ..............au wenzio sio wakakwo?sidhani kama angekuwa mtoto/mdogo wako ungeandika hivi.


viranga vayo nao wacha wakome, walifuata nini Guest?
 
Ni kweli kabisa wala sipingani na wewe Mpwa wangu only one thing kwamba unayaaongea haya ukiwa nje ya tukio, naapa kama nisingekuwa na maadili ningekuwa nimewatafuna; huo ni ukweli but i have been helping them, teaching them this and that, ingawa wakati mwingine wanaonekana kunizidi ......well, nimewasidia sana kisaikolojia ( I am proud of this) ningekuwa na uwezo ningekutuma kwene hio shule ukaulize
 
Hapana siko hivyo hebu soma hicho nilichikiandika hapo juu, then judge me accordingly......ningekuwa na uwezo ningekuelekeza uende kwenye shule niliyokuwa nafundisha
watu wenye mawazo kama yako ndio wanaoharibu watoto. Mtoto wa mwenzio mwanao. Alaaaaa!
 
Kwa sababu fulani fulani sitakuelekeza kwenye blog yangu ambayo Mimi ni mmoja wapo ya Campaigner wakubwa (naweza sema hivyo) kuhusu elimu ya watoto wetu.........
Una watoto?ndugu wadogo ..............au wenzio sio wakakwo?sidhani kama angekuwa mtoto/mdogo wako ungeandika hivi.
 
Picha please for evidence



 
Malezi mabaya kutoka kwa wazazi woa yanasababisha haya mambo, wiki jana nimeshuhudi mama anamfokea binti yake under 18 amepata ujauzito cha kushangazi binti naye akamropokea mama yake kuwa mbona yeye mama hajatulia ana wanaume wengi nje.
 
Sikiliza na hii nayo; miezi karibia mitatu iliyopita kabla sijaikimbia hii fani ya chaki; tulimuita binti mmoja (form three) ofisini na kumuelekeza na kumuonya kwa tabia ya kubadilisha mabwana na kuchelewa nyumbani( kama ilivyorpotiwa na Mlezi wake) binafsi nilimuita baadae na kumueleza kuwa yeye ni mwanafunzi mwenye akili na uwezo, aachane na mambo hayo au kama hawezi basi japo apunguze ili uzito uhamie kwenye masomo....tuliongea kwa kirefu sana na tukakubaliana kuwa atabadilika, siku chache baadae ikija kesi nyingine ya kukutwa na mwalimu akiwa amekumbatiwa na mwanaume barabarani paleee maeneo fulani ya Sinza akiwa na uniform (sifa mbaya kwa shule) akaja na mzazi wake this time, mama akalia weee, akaeleza na shida zake na jinsi maisha yao yalivyo ya shida, hilo nalo likaisha, nikamuita tena nikaongea nae, akalia naee akasema mwalimu anamsingizia tu, yakaisha...haaa cha kushangaza wiki iliyofuata ambayo shule ilifungwa kwa mapumziko ya mafupi....yule binti hakurudi kwao ile siku ya ijumaa hadi Mlezi wake anaeishi naye (haishi na mama yake na huyo mlezi wake pia hata hawana undugu) alipokuja kutoa taarifa shuleni, ikabidi taarifa ifike polisi then the following wiki piacha na tangazo likatolewa ITV kipindi cha Jiji letu kuwa amepotea...in short baada ya wiki tatu hivi akarudi na akaja shule, anaulizwa ulikuwa wapi anasema alikuwa kwa ndugu yake.......well hio ndio nature ya watoto wetu, kama mwanafunzi anaishi na mwanaume wewe mwalimu ambaye pengine hata kuoa au kuolewa bado utamfundisha nini akuelewe??
Malezi mabaya kutoka kwa wazazi woa yanasababisha haya mambo, wiki jana nimeshuhudi mama anamfokea binti yake under 18 amepata ujauzito cha kushangazi binti naye akamropokea mama yake kuwa mbona yeye mama hajatulia ana wanaume wengi nje.
 
Aibu kwa wazazi wao, sijui watasema nn, kama mm na ada silipi tena
 
Inasikitisha sana,
Kwa walio karibu nawaomba mtoe msaada wa nauli wakuu
 
according to teaching ethics, The dog should never eat the bone tied around its neck! Akikukalia uchi chapa viboko na sio kumla kondoo!
 
Walitokea wapi wakienda wapi? Wapuuzi wakubwa hawa, hawa ni machungodoa wakubwa hawa, unatakiwa uvikamate uvichapeeee na "fimbo" hadi vikome, ndio vinatuletea tabia chafu mashuleni na vyuoni...pumbaf kabisa, kudanganywa gani huko toka Arusha hadi Dar kama si umalaya ni nini? yaani mtu sio ndugu yako halafu ukubali tu uje tu....No, hawa watoto hiii tabia walikuwa nayo kabla
viranga vayo nao wacha wakome, walifuata nini Guest?
 
Hahahaaaa, sijasema nimevila Mpwa ingawa chances zilikua nyingi ila kweli sometimes unatamani uviltafune......si unasema hivyo kwasababu uko nje ya hali halisi....unatakiwa unisifu bana, leo ni wangapi wanaweza kufanya hivyo? Ngoja nitaku-PM uende pale ukaulize kama nilitafuna hata kamoja zaidi ya kuviumbua tu. Haya
according to teaching ethics, The dog should never eat the bone tied around its neck! Usijifagilie kwa huo upuuzi! Akikukalia uchi chapa viboko na sio kumla kondoo. Bora hata umeiacha kazi cuz ur useles...!
 
Huyo baba ana balaa hasa na hao watoto balehe inawapeleka vibaya maana inaonekana wanategemea zaidi ushauri wa age mates kuliko responsible adults. Inawezekana hata contacts za huyo fataki hawana,hawajui anakoishi wala anakofanya kazi. Wazazi/walimu/walezi tujitahidi kuwafundisha life skills na kujitambua na tuwe karibu na vijana wetu tukiwahimiza kuwa wawazi na kutueleza yanayowasibu. Tuwaonyeshe kuwa tuko kwa ajili ya kuwasaidia na si kuwahukumu.Ulezi kazi jamani ila tukimtanguliza Mungu atatuongoza vema.
 
Hao watoto ni machangudoa wazoefu, Wamevaa uso wa mbuzi na hawana aibu hata chembe, hainiingii akilini vibinti kama hivyo kusema eti vimerubuniwa, ukweli ni kuwa mapenzi vilianza long time na mahala vilipovikia kuvirudisha kwenye mstari ipo kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…