wanafunzi wengi wa form 6 waliomaliza wamefeli GS

AfricaUnited

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2010
Posts
2,367
Reaction score
1,293
matokeo ya rafiki yangu acountanc A,economics C,COMMERC C,Bam S,GS kafeli je anaweza kujiunga na chuo kafeli gs?!
 
Mhh.....dan pol mbona unaanza kuntisha.....mwenyew nna f ya gs
 
duh mkuu hujui vigezo vya kuingia chuo kikuu? naomba nikufahamishe inabidi uwe na princ 2 mkuu
 
Ujue bwana kitu uvumi kibaya sana....ilishaenea mitaani kote huku faster eti hupati chuo ukiwa na f ya gs.....kama ni hivyo mwaka huu mbona tutaumbuka wengi
 
Kwasababu sioni kama ina umuhimu! Hali halisi tunaiona, vijana wengi sasa hivi hawataki tena siasa.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
matokeo ya rafiki yangu acountanc A,economics C,COMMERC C,Bam S,GS kafeli je anaweza kujiunga na chuo kafeli gs?!

Hapo tayari ana div 3 ya penalty, Chuo atapata ila asitegemee kupata mkopo kutoka loan board. Kuna jamaa yangu mwaka 2008 ilimtokea kitu kama hicho, ila iwe utaratibu umebadilishwa kwa sasa.
 
Vijana F katika somo la General Studies ni penalty. Huwezi kwenda chuo bila kupata pass GS, labda diploma, suluhisho ni kureseat somo husika.
 
Vijana F katika somo la General Studies ni penalty. Huwezi kwenda chuo bila kupata pass GS, labda diploma, suluhisho ni kureseat somo husika.

hakuna kitu kama hicho chalii...kuna watu wana III.7 na wako Tellecom UD.....GS sio kigezo cha kutoingia chuo
 
Tatizo wengiwanadharau somo la GS hawatilii maanani kama wanavyoweka bidii kwenye masomo ya combi.
Ukipanda mchicha huwezi kuvuna mpunga
 
matokeo ya rafiki yangu acountanc A,economics C,COMMERC C,Bam S,GS kafeli je anaweza kujiunga na chuo kafeli gs?!


Hongera zake sana!Wala asitie shaka hata kidogo yaani achague degree yoyote ile anayoitaka kulingana na combi yake ataipata tu! Nina ndugu yangu alipigwa penati ya GS PCB mwakani anamaliza digrii yake ya udaktari.
 
Hapo tayari ana div 3 ya penalty, Chuo atapata ila asitegemee kupata mkopo kutoka loan board. Kuna jamaa yangu mwaka 2008 ilimtokea kitu kama hicho, ila iwe utaratibu umebadilishwa kwa sasa.

mkuu mwaka jana watu wamekula mkopo na 3 za 15, 16 na 17 provided umesoma government olevel na advance!
Hivo vigezo vyako havipo tena kwa sasa!
 
Nafikiri serikali imeamua kupunguza wenye sifa za kupata mkopo kwa kuwafelisha G.S.,Wanafunzi wengi wenye uwezo wakupata S ya G.S. wamefelishwa.
 
majango kwa hiyo mkopo hakuna kama huna s ya gs?
 
Acheni kuwatisha madogo nyie.Mbona huku chuo wako wengi(hasa first year) waliokuwa na F za GS na mkopo wanakula mia kama kawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…