Wanafunzi wenye vipaji maalum!!!


Haswaaaa
 
Mkuu NN Ni kweli kabisa wahandisi wa Kitanzania au Kiafrika hawajafanya kile ambacho wahandisi wa Ulaya na Marekani wamefanya unaweza kuwalaumu hawa watu lakini ni kuwaonea tu Mkuu!

Sisi kwa asili si watu tuliojaliwa ingenuity. Ingenuity na intelligence (uwezo wa akili za kujifunza na kuelewa) ni tofauti sana. Marekani na Ulaya wamejaliwa kuwa na watu wengi sana wenye ingenuity. Kama unataka nieleze kwa kina tofauti ya ingenuity na intelligence niambie. Niko radhi nitoe hilo somo kwa manufaa ya wengi.


Unajua nini kaka? Huo ugumu wa maisha ndiyo unapaswa kuchokonoa ingenuity yetu ili kuvumbua njia na namna mbalimbali za kuondokana nao.

Kumbuka kuwa hata mazingira bora ya kitu fulani nayo hutengenezwa. Hayadondoki tu toka angani au mbinguni (wherever that's at). Tusilalamike sana eti mazingira yetu sijui hayaruhusu...sijui maisha magumu...na blah blah zingine kama hizo. Mazingira mazuri hutengenezwa na vile vile maisha magumu hurahisishwa. Kwa nini sisi hatuwezi kufanya hivyo?
 
Kwa wanafunzi wote wale waliokuwa katika shule za vipaji maalum wawasiliane na e-mail ifuatayo mushi.richmond76@gmail.com,popote walipo
kuna program kubwa sana inaandaliwa na kampuni ya kutoa mikopo na mafunzo ya kijasirimali ambayo ingependa kuona watanzania tunazalisha wajasiriamali wakutoa ajira kwa watanzania wenzao,hii ni kwaajili zaidi kwa wale waliosoma masomo ya biashara na sayansi ya jamii,program hii itaanza rasmi miaka miwili ijayo,nafasi ni chache wahi sasa.
 
aaa tulikutana nao chuo kikuuu na wenine tukawaburuza ...hakuna kijapi wala nini

Mkuu huna haja ya kujisifu kuweza kushindana na binadamu mwenzake...
Hao waliofaulu zaidi ya wengine na kupelekwa shule za peke yao, ni binadamu wa kawaida kabisa....huna haja ya kuonyesha chuki dhidi yao kwa kuwa walikushinda katika mtihani fulani....
Maisha ni kupambana katika hatua zote....kuna watu walikosa nafasi kwa shule za serikali walipomaliza darasa la saba...ila wamepambana hadai wengine wamekua maprofesa (kama tukizungumzia academic excellence)...
 
Maisha ni kupambana katika hatua zote....kuna watu walikosa nafasi kwa shule za serikali walipomaliza darasa la saba...ila wamepambana hadai wengine wamekua maprofesa (kama tukizungumzia academic excellence)...

Sawa kabisa bw. Roya Roy. Kuna watu walifeli la saba, fom foo, na fom siksi lakini leo hii wana maisha mazuri kushinda hao maprofesa
 
aaa tulikutana nao chuo kikuuu na wenine tukawaburuza ...hakuna kijapi wala nini

totafutisha, uliwaburuza kwa kuwa wa kwanza darasani (kukariri). Nafikiri wewe ni mmoja ya wale limbukeni, ukipata majibu unamwambia kila mtu, unahsika amtokeo ya darasa zima hadi number zao.
 
Sawa kabisa bw. Roya Roy. Kuna watu walifeli la saba, fom foo, na fom siksi lakini leo hii wana maisha mazuri kushinda hao maprofesa

unachnganya madesa mkuu, hatuzungumzii pesa na mjumba
 
Sawa kabisa bw. Roya Roy. Kuna watu walifeli la saba, fom foo, na fom siksi lakini leo hii wana maisha mazuri kushinda hao maprofesa

Mkuu NN Natambua concern yako na mimi ni Mmoja wa Wanafunzi waliofanikiwa kufaulu vyema form four Nikachaguliwa kujiunga na Shule moja wapo ya Vipaji Maalumu ( Tuondoe chuki dhidi ya hawa watu ukweli ni kwamba Asilimia kubwa ya wanaomaliza form four wana wish kwelikweli kuchaguliwa in among those schools and being one of the I felt very good).

Mkuu I had a lot of expectations na hata nilipokuwa Chuo Niliona waanfunzi wengi tu wakijaribu kuwa innovative lakini waliishia kuwa Frustrated na Mfumo wa Elimu ya Chuo ambao unamlazimu Mtu Ujikite Zaidi katika Kusoma na si Kufanya Vitu. Tukubali kwamba wanaomaliza form six wanatofautiana sana na kuna wengine wanakuwa na uwezo wa Ajabu ila Tatizo ni recognition, well utaratibu wa Special School mimi sina tatizo nao kabisa ila Tatizo liko kwenye Kuvilea hivyo Vipaji Mkuu hapo kama Nchi tumeshindwa.

Nafahamu Vijana wengi sana wamefanikiwa (as individual katika maisha but Mchango wao katika taifa kama Engineers, Dokctors bado umekuwa mdogo sana)
 
Hamisi kishindindo naomba uelezee hiyo tofauti ya intelligence na ingenuity.
 

Sina chuki na yeyote anayefaulu form yoyote ile. Ufaulu wake ni wake yeye. Na binafsi sioni uspesho wowote wa hizo shule au hata hao wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga nazo. Ni mtazamo wangu tu huo.
 
Hamisi kishindindo naomba uelezee hiyo tofauti ya intelligence na ingenuity.

I will use English. So bear with me.

The Merriam-Webster English dictionary defines Ingenuity as "skill or cleverness that allows someone to solve problems, invent things, etc."

The same dictionary defines Intelligence (with regards to the power of the mind for the word intelligence has several meanings) as "the ability to learn or understand things or to deal with new or difficult situation"

The Oxford Advanced Learner's dictionary also offers pretty much the same definitions. Now let's get down to the nitty-gritty of those two definitions as they relate to our current state of affairs.

Ingenuity: the definition tells us it has more to do with solving problems and inventing things. In order to do that you need to have the wherewithal or the skill(s) necessary to do so.

We have a gazillion of problems and you know them. We are not good at solving them and that's why they have been there since time immemorial. Ingenuity doesn't only have to do with technical issues alone but also policy ones as well.

What ways have we invented to make our lives better, to tame our environment, or to eradicate killer diseases? We can't even invent other sources of alternative energy to provide us with viable and reliable electricity. Hydro-electric power, solar energy, and nuclear energy were all invented. But is that the end of invention with regards to that?

Intelligence; the ability to learn or understand things. This has more to do with learning. You are in school, you get taught things by the teacher and you learn and understand. This is more academic than ingenuity.

We have a lot of people that go to school to learn. Many score well on tests and exams. Other than that they don't do jack shit. Why is that? It's because they lack ingenuity (refer to the definition above). That is why we are plagued by the same problems year in and year out with no end in sight.

To solve our many nagging problems you need a combination of both ingenuity and intelligence. You need intelligence because you need to study, identify, and understand those problems. In order to solve them you need ingenuity.
 

somo limeeleweka hamisi. Ahsante.
 
Naishukuru sana Ilboru! Imenitengeneza na imeendeleza kipaji changu. Am special..kila mtu anaapreciate!


nini mchango wako kwa Taifa hasa Tz kwa kipaji chako cha kufaulu Mitihani darasani? Unaonekana mbumbumbumbumbuuuu sana wewe. Kama kipaji unakuja kujisifu humu tunamojadili mustakabali wa Taifa kwa maendeleo yetu. Kwenda kalime kwani haya yamekushinda.
 

Kwanini wao tu unataka uone u special wao? what about you katika huo u not special wako umefanya nini? au ni wivu tu kwa kutokuchaguliwa special school?
 
Naona ukisikia hilo neno special linakuumiza sana. Inabidi tu ukubaliane na hali halisi, duniani kuzidiana kupo, hatuwezi kuwa sawa.
Kwa analyis ya haraka haraka nikiangalia taasisi kubwa hapa nchini, ambazo wanahitajika watu wenye high thinking capacity, wengi wao wametokea Special schools
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…