Vipaji maalum my ass.....kipindi kile mbwembwe kibao watu tulikuwa hatunywi maji...kudadadeki wako wapi sasa wengi wanywa gongo tu mtaani.
Natamani kuwaona,natamani kusikia wako wapi.hivi wameonyesha kwamba wao ni 'special' kwa kuleta maendeleo nchini?au walipewa misifa isiyostahili.wale wa mzumbe,Ilboru,Tabora boys,Kibaha,msalato,Kilakala wamepotelea wapi?naongelea wale wanafunzi wa miaka ya 90's mpaka early 2000's kabla mfumo wa elimu haujachakachuliwa.
NN,
Tatizo siyo Maengineer. Tatizo ni absence of research funding. Kama serikali yetu ingeweka kipaumbele kwenye swala la utafiti kivitendo, nina uhakika maengineer wetu wangekuja na solution nzuri tu za matatizo yetu.
Nchi za ulaya mwanafunzi mmoja anatengewa zaidi ya usd 20,000 kwa utafiti. Marekani ni zaidi ya hapo. Sisi, mmmh sifuri.
Kwa hiyo tusiwalaumu wataalam wetu na wanafunzi wetu wenye vipaji maalum.
ni kweli bwana mkubwa ,shida ya nchi yetu ni kwamba watu wanamaliza vyuo bado wanafanya research za kuibia. Msitegemee wanafaunzi special wakaleta moto toka mbinguni ,haiwezekani . Lakini nasikitika hawa akina Karamagi ,Mkuu mwenyewe akina Mgonjwa alumni wa Kibaha shule ya wizara wameonesha negative force to our development.Lazima tukubali kuwa vipaji vinatofautiana toka mtu hadi mtu. Kuna wenye vipaji zaidi kuliko wengine. Kwa mfumo uliokuwepo na ambao upo mpaka sasa, kipaji kinapimwa kwa kuangalia ufaulu wa mwanafunzi toka shule ya msingi kwenda sekondari. Hiki mimi bado naamini ni kigezo kizuri cha kutofautisha watu wenye kipaji na wale wasiokuwa na kipaji. Kinachotakiwa ni kuboresha mfumo wa kuwatambua na kuwaendeleza wenye vipaji ili waweze kuwa chachu ya maendeleo nchini. Mfano, mitaala ya shule zao ingeongeza mafunzo ya kutafiti/kugundua vitu vipya vitakavyosaidia kutatua matatizo katika jamii zinazowazunguka badala ya kuwekeza kwenye kufaulu mitihani peke yake. Wenzetu wanaita ingenuity. Lakini pia unapokuwa na mwanafunzi mwenye kipaji unahitaji kuwa na mwalimu mwenye kipaji aliyefunzwa vizuri kulea na kuendeleza kipaji cha huyo mwanafunzi.
Azaboys, hili chama lina nafasi yake kubwa katika duru za taaluma bongo:
Motto ya azaboy: Academic excellence, solidarity and sportsmanship is our motto:
School anthem:
"in haven of peace azania stand at ease, to awaken, strengthern, feed our hungry minds
chorus: "you are known far and wide, you are always our guide, we will never forget you"
...................
Gamba la Nyoka.UMENIKUNA SANA MTU WNG ni hivi hao wanajiita vipaji maalumu tulikuwa tunakutana nao Don Bosco ila cha kushangaza hawana mchango wa maana kwenye Disc.Nachokumbuka ni kuwa mi nilikuwa na rafiki yangu alikuwa anasoma shule ya msing Majohe" na nilimpita marks 9.ila matokeo yake yeye akachaguliwa Mzumbe kisa Majohe inajulikana kuwa ni Ilala vijijin niliumia ila skul yangu ilikuwa Ukonga.Cha ajabu akirudi mi ndo mwalimu wake.CHA MSING NI KUWA kipaji maalumu hajulikani kwa last examination tuu ndio maana weng wao Hawana mchango kwenye jamii na hata kudisco .Azania wengi wao ndo wanafunzi ambao walikuwa wanaburuza kwenye primary za Dar.
achana na mambo ya kuchana wewe bwa mdogo fikiria hyo A yako unayoipata itakuwa na maslah gani kwa taifa? Bora hata tumthamini mtu anaye pata D lakini anajua kulitetea taifa.
Kataa usikatae kuna average students na exceptional students. Na wengi wetu ni average students Hilo lipo na litaendelea kuwapo. Kwamba hao exceptional students wamelifanyia nini taifa ni suala la sera. Kama sera za taifa hazitoi nafasi ya kuwaendeleza na kuwasaidia katika tafiti na uvumbuzi mchango wao hatutaufaidi kama taifa bali familia zao tu (kwa vipato wapatvyo toka katika ajira zao).
Nani huunda hizo sera bora? Au hudondoshwa toka mbinguni na mungu?
Mkuu wakuziunda sera hizo ni sisi wenyewe. Ila tatizo lipo kwa waliokasimishwa hayo mamlaka ya kuziunda.
Gamba la Nyoka.UMENIKUNA SANA MTU WNG ni hivi hao wanajiita vipaji maalumu tulikuwa tunakutana nao Don Bosco ila cha kushangaza hawana mchango wa maana kwenye Disc.Nachokumbuka ni kuwa mi nilikuwa na rafiki yangu alikuwa anasoma shule ya msing Majohe" na nilimpita marks 9.ila matokeo yake yeye akachaguliwa Mzumbe kisa Majohe inajulikana kuwa ni Ilala vijijin niliumia ila skul yangu ilikuwa Ukonga.Cha ajabu akirudi mi ndo mwalimu wake.CHA MSING NI KUWA kipaji maalumu hajulikani kwa last examination tuu ndio maana weng wao Hawana mchango kwenye jamii na hata kudisco .Azania wengi wao ndo wanafunzi ambao walikuwa wanaburuza kwenye primary za Dar.
Hao waliokasimishwa hayo mamlaka wamekasimishwa na nani? Mungu?