frank mkweli
Member
- Aug 9, 2013
- 92
- 12
msijali wajameni ni makosa ya kiufundi tu yamefanyika
ni kwl broh
hawajielewi hawa msimamo manzo mwisho elim kwanza ukakamavu baadae ndo habar ya mjini etiiii awamu ya tatu ndooo hiiii wamechukua kwa herufi na ya nne lin nachuo je wanataka 2zeeke mtaan hawa