Wanahabari ni wahudumu wa Jamii si Wanasiasa

Wanahabari ni wahudumu wa Jamii si Wanasiasa

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210401_154033_0000.png


Waandishi wa Habari ni wahudumu wa jamii lakini si Wanasiasa kwa tafsiri ya kawaida ya neno hilo, ingawa jukumu lao la kijamii lina uzito wa kisiasa

Maadili ya msingi wa kazi yao ya kiweledi ni maadili ya ulimwengu mzima: amani, demokrasia, uhuru, mshikamano, usawa, elimu, haki za binadamu, haki za wanawake, haki za watoto, maendeleo ya kijamii

Hivyo kazi yao inachangia kuleta mabadiliko ya kijamii na kisiasa
 
Upvote 1
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom