WANAHARAKATI: MIGOMO haikwepeki...

WANAHARAKATI: MIGOMO haikwepeki...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Zikisalia siku chache kufunguliwa kwa Vyuo Vikuu nchini,Wanafunzi Wanaharakati Vyuoni wamesema kuwa migomo haiepukiki. Wakizungumza nami katika nyakati tofautitofauti,wanaharakati hao wameapa kuwa vyuoni patachimbika. 'Kwa ubaguzi huu wa kozi fulani kupewa mikopo na nyingine kunyimwa,Vyuoni hapatakuwa sehemu salama kuishi' wametamba. 'Hatutakubali ubaguzi kwenye nchi yetu wenyewe' wakaongeza.

Serikali na isikie...
 
Zikisalia siku chache kufunguliwa kwa Vyuo Vikuu nchini,Wanafunzi Wanaharakati Vyuoni wamesema kuwa migomo haiepukiki. Wakizungumza nami katika nyakati tofautitofauti,wanaharakati hao wameapa kuwa vyuoni patachimbika. 'Kwa ubaguzi huu wa kozi fulani kupewa mikopo na nyingine kunyimwa,Vyuoni hapatakuwa sehemu salama kuishi' wametamba. 'Hatutakubali ubaguzi kwenye nchi yetu wenyewe' wakaongeza.

Serikali na isikie...


Mkuu, Vyuoni siku hizi kuna wanaharakati?! Tangu lini? Una uhakika ni vyuo vyote? Waliyasema hayo wapi? Wakiongea na wewe kama nani? ..Una uhakika kuwa si mawazo yako na ku-generalize kwamba hao "wanaharakati" wanasema hivyo? Source ya info?
 
Mkuu, Vyuoni siku hizi kuna wanaharakati?! Tangu lini? Una uhakika ni vyuo vyote? Waliyasema hayo wapi? Wakiongea na wewe kama nani? ..Una uhakika kuwa si mawazo yako na ku-generalize kwamba hao "wanaharakati" wanasema hivyo? Source ya info?
Kalaga baho...
 
Aiseee wangoje 2malize mwaka 3 ndio waanze hizo harakati
 
wanaharakati ama wanakupenda kuonekana kwenye tv na magazeti?
 
hamna lolote uharakati mzuri ni kuitoa ccm tu huo wa chuoni hauna maana kuna jamaangu alikuwa ivo ivo akafukuzwa mwaka wa tatu kisa mgomo na aliogoma nao wakasema daaah asante mungu sijafukuzwa so harakati mayai za chuoni hazifai
 
For those wanaotaka kuanzisha migomo, can they aford to loose 3yrs o more, hawajui thaman ya Muda. Maana agomae analazimisha mwingine amtatulie matatizo yake...watu kama hawa ndo wanakujaga kuwa viongoz wa ajab ajab wategemez kama hawa wa sasa tuwaonao
 
Sitokaa nishiriki kwenye migomo ya ajabuajabu. Nafahamu background ya familia yangu.
 
Hapa patamu!!! Rasilimali zinaishia mikononi mwa wachache wakati zingetosha kabisa kuwapa vijana elimu hadi Chuo Kikuu. Sasa polisi jiandaeni kuua kabisa na mabomu agizeni uchina ya kutosha maana mambo ha bodi ya mikopo yataleta tafrani sana. Ila ukipitia kwa makini na watoto wa vigogo waliosoma academy tena kwa ada ya 0ver 10 mil kwa mwaka wamo!!
 
Raha ya msiba usikie kwa mwenzako n C kwako sa hata kufukuzwa kwa niaba YA mgomo iwe mwa mwenzako na c kwako,..... So be care na hiyo migomo yenuuuuuuu.
 
Tatizo c kugoma ila hata nyie mnao kashfu mawazo ya huyu jamaa jarb kufikir kwanza huo ubaguz kama watafanya ni watoto wangapi wa wakulima wataenda chuo? Na najua hata nyie baadhi yenu mmesoma shule zetu wanyonge mnajua fika kuwa hata huyo aliyechaguliwa course ya sanaa kaipata kwa nguvu gan.Alafu huyo huyo anapambanishwa na mtoto wa Marian nk kwenye mkopo kisa huyo marian kasoma sayansi hyo haki? Naomba majibu.
 
Back
Top Bottom