VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Zikisalia siku chache kufunguliwa kwa Vyuo Vikuu nchini,Wanafunzi Wanaharakati Vyuoni wamesema kuwa migomo haiepukiki. Wakizungumza nami katika nyakati tofautitofauti,wanaharakati hao wameapa kuwa vyuoni patachimbika. 'Kwa ubaguzi huu wa kozi fulani kupewa mikopo na nyingine kunyimwa,Vyuoni hapatakuwa sehemu salama kuishi' wametamba. 'Hatutakubali ubaguzi kwenye nchi yetu wenyewe' wakaongeza.
Serikali na isikie...
Serikali na isikie...