Elections 2010 Wanaharakati Morogoro tukutane

Elections 2010 Wanaharakati Morogoro tukutane

Ramos

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2010
Posts
498
Reaction score
130
Sorry wanaJF, Sorry mod naomba mniruhusu nitoe ombi dogo...

Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, kwa kuzingatia umuhimu mkubwa wa kuwepo kwa timu imara katika kulinda kura zetu, nawaomba wanaJF wote wapenda haki hususan wana CHADEMA na wapinzani wengine waniPM ili tujadiliane jinsi tutakavyounda timu (ya kujitolea) tukishirikiana na viongozi na makada wengine mkoani hapa kulinda kura zetu...
 


...kwa ugonjwa huu nitakufa. Watanzania wale watalia sana... mimi nitawaombea kwa Mungu... hayo maneno ya mwalimu siku zake za mwisho..naamini anamwombe dk slaa atukomboe mikononi mwa mafisadiiii
 
Back
Top Bottom