Wanahisa wa Akiba Commercial Bank hatujalipwa baada ya kuwauzia National Bank of Malawi

Wanahisa wa Akiba Commercial Bank hatujalipwa baada ya kuwauzia National Bank of Malawi

Bulesi

Platinum Member
Joined
May 14, 2008
Posts
14,275
Reaction score
13,929
Akiba Commercial Bank iliwauzia Mwaka jana National Bank of Malawi 75% ya hisa zake na hiyo transaction ilipata Baraka zote za BOT.

Kitu cha kushangaza ni jinsi wanahisa waliouza hisa zao wanavyopigwa danadana kulipwa fedha zao toka wakati huo zoezi hilo lilipokamilika.

Sasa sijui tatizo liko kwenye urasimu wa BOT kumalizia masuala madogo madogo au ni uzembe wa Management ya ACB?

Gavana wa BoT hana budi kuingilia hili suala kwani hata board mpya baada ya uuzaji wa hisa haijawa constituted!!
 
Kama kuna mkataba wa mauziano ya hisa kwanini hawaendi mahakamani kuomba ACB kutekeleza majukumu yake katika mkataba huo?
 
Kama kuna mkataba wa mauziano ya hisa kwanini hawaendi mahakamani kuomba ACB kutekeleza majukumu yake katika mkataba huo?

Hawakatai kulipa ni suala la urasimu tu, kuna mtu hapo kati hatimizi wajibu wake!
 
Back
Top Bottom