Wanahitajika Mawakala wa super gro Mikoa yote Tanzania

Isije ikawa ndio zile biashara unaweka mtaji kwenye kampuni, unapewa bidhaa kutembeza mitaani kuwauzia wakulima kwa bei ya faida..

Ukipata wajinga wajinga unawachota na kuwapeleka kwa meneja kisha na wewe unapata commission.. Kila unaempeleka nae akiuza unapata % yako huku ukiamini kuna siku na wewe utapata top position kwenye kampuni..

Wewe unakua mtu wa kubadilisha soli za viatu tu maana kutwa kucha kiguru na njia..
 
Ac
Acha kuamini hivi boss. Kwani mawakala wa mbolea unawajua? Acha uoga ingia kwenye biashara. Mbona unaweza kuamua kuchukua hayo madumu yote ukaweka dukani kwako ukawa unauza?
 
NDIO HAWA HAWA. HIYO 550,000 UNAUZIWA MZIGO UKAFE NAO MBELE YA SAFARI.

WIZI MTUPU!

UKIIBIWA NA WEWE UNATAFUTA KENGE WENGINE WAJIUNGE UPATE COMMISSION
 
nakukumbusha tu umesahau kuandika disadvantages
 
Mnahitaji mawakala au mnahitaji wateja wa huo uchafu wenu??? Pumbavu kbs
 
Dadeki wanawajazia maji wanaweka weak acid ukafe nayo mbele uko uyo mkulima ukaanze kumwelezea supergro mi nilijuw super glue ile gundii
Tafadhali kama unaushahid kuhusu usmacho unaweza Kutoa taarifa kwenye mamlaka husika ukishindwa tunaweza kuchukua hatua stahiki juu yako.....

Siku njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…