Wanahitajika Nursing officer (NO) watatu

Wanahitajika Nursing officer (NO) watatu

ila Elimu hii ya bongo 🙌

Nina mwamba Mmoja ..... NO graduate wa muhas GPA sijui 4 point ngapi huko hapo advance alikunja one nzuri tu enzi zileee ....yupo RUKWA huko amejikatia Tamaa hata ya kuajiriwa.

noma Sana....
 
Back
Top Bottom