Habari wanaJamiiForums,
Nisizunguke sana. Ni kama tanagzo linavyojieleza. Wanahitajika vijana wawili ambao wana uwezo mzuri sana wa kuchambua habari za burudani (Gossip), matukio nk. Ambae anaweza kufanya kazi akiwa nyumbani.
Kuna youtube channel ambayo imenza kupokea matangazo na tayari imeanza kuingiza pesa. Kama itakuwa una uwezo au mtu wako wa karibu basi msiache kunitafuta kwa namba zangu call/WhatsApp +255 623 582 579
NB: Ukinitafuta jaribu kuja na samples za kazi zako kabisa.
Nisizunguke sana. Ni kama tanagzo linavyojieleza. Wanahitajika vijana wawili ambao wana uwezo mzuri sana wa kuchambua habari za burudani (Gossip), matukio nk. Ambae anaweza kufanya kazi akiwa nyumbani.
Kuna youtube channel ambayo imenza kupokea matangazo na tayari imeanza kuingiza pesa. Kama itakuwa una uwezo au mtu wako wa karibu basi msiache kunitafuta kwa namba zangu call/WhatsApp +255 623 582 579
NB: Ukinitafuta jaribu kuja na samples za kazi zako kabisa.