Wanahitajika Watu 10 wenye Mtaji wa 20M kwa ajili ya kuunganisha Mitaji yetu Pamoja

Wanahitajika Watu 10 wenye Mtaji wa 20M kwa ajili ya kuunganisha Mitaji yetu Pamoja

Mwana Ilala

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
1,287
Reaction score
486
Hallo wana JF.
Natumain kila Mmoja wetu anatambua Nguvu iliyopo pale watu wanapoamua kuungana na kuwa kitu kimoja. Kwani kunakuwa na faida ndani yake. Moja ya faida kubwa ni Mawozo(Ideas) hatA kwenye field ya Engineers huwa wanafanikiwa pale wanapokaa na kila Mmoja akaweka Idea yake nn cha kufanya ili project iweze kukamilika.

Nami nataka kuunda Team ya Watu 10 yenye Mtaji wa 20M kwa kila Memba, then tutaweka Strategies zetu pamoja nini cha kufanya ili tuweze ku-multiply our initial Capital to higher Level.

Nikiwa kwenye huu Mchakato, Nnaomba Mawazo yenu kuhusiana na Pros and Cons ambazo tunaweza kukumbana nazo wakati tukiwa kwenye harakati za kukuza Mtaji Wetu. Je ni Idea nzuri kuweka Mitaji yetu Pamoja na tukaweza kufanikiwa kimaisha!??

Tafadhali, Nnaomba mchango wako wa hali na Mali kuhusiana na hili. Pia kama uko willing kuwa PARTY OF THIS, Just PM Me. Bila kusahau. Moja ya Kigezo lazima uwe na Initial Capital ya 20M.

Thanks.
 
Ni idea nzuri hata me nilishawahi kufikiria hivyo..nina dream ya kumiliki shule na nikiangalia mtaji wangu hautoshi kwa sasa na nikaamua kuweka pesa zangu kwenye fixed account nikiwa nawaza nini nitafanya...so upo ryt mkuu.
 
Hallo wana JF.
Natumain kila Mmoja wetu anatambua Nguvu iliyopo pale watu wanapoamua kuungana na kuwa kitu kimoja. Kwani kunakuwa na faida ndani yake. Moja ya faida kubwa ni Mawozo(Ideas) hatA kwenye field ya Engineers huwa wanafanikiwa pale wanapokaa na kila Mmoja akaweka Idea yake nn cha kufanya ili project iweze kukamilika.

Nami nataka kuunda Team ya Watu 10 yenye Mtaji wa 20M kwa kila Memba, then tutaweka Strategies zetu pamoja nini cha kufanya ili tuweze ku-multiply our initial Capital to higher Level.

Nikiwa kwenye huu Mchakato, Nnaomba Mawazo yenu kuhusiana na Pros and Cons ambazo tunaweza kukumbana nazo wakati tukiwa kwenye harakati za kukuza Mtaji Wetu. Je ni Idea nzuri kuweka Mitaji yetu Pamoja na tukaweza kufanikiwa kimaisha!??

Tafadhali, Nnaomba mchango wako wa hali na Mali kuhusiana na hili. Pia kama uko willing kuwa PARTY OF THIS, Just PM Me. Bila kusahau. Moja ya Kigezo lazima uwe na Initial Capital ya 20M.

Thanks.
smartapartments; ipo fursa sasa DSE katika window mpya ya Enterprise Growth Market ambayo kampuni mpya inaweza kuwa listed kupata mtaji.

pamoja na option yako njema you can also try this.
 
Last edited by a moderator:
Hallo wana JF.
Natumain kila Mmoja wetu anatambua Nguvu iliyopo pale watu wanapoamua kuungana na kuwa kitu kimoja. Kwani kunakuwa na faida ndani yake. Moja ya faida kubwa ni Mawozo(Ideas) hatA kwenye field ya Engineers huwa wanafanikiwa pale wanapokaa na kila Mmoja akaweka Idea yake nn cha kufanya ili project iweze kukamilika.

Nami nataka kuunda Team ya Watu 10 yenye Mtaji wa 20M kwa kila Memba, then tutaweka Strategies zetu pamoja nini cha kufanya ili tuweze ku-multiply our initial Capital to higher Level.

Nikiwa kwenye huu Mchakato, Nnaomba Mawazo yenu kuhusiana na Pros and Cons ambazo tunaweza kukumbana nazo wakati tukiwa kwenye harakati za kukuza Mtaji Wetu. Je ni Idea nzuri kuweka Mitaji yetu Pamoja na tukaweza kufanikiwa kimaisha!??

Tafadhali, Nnaomba mchango wako wa hali na Mali kuhusiana na hili. Pia kama uko willing kuwa PARTY OF THIS, Just PM Me. Bila kusahau. Moja ya Kigezo lazima uwe na Initial Capital ya 20M.

Thanks.

Mkuu ni vigumu sana kupata partners kabla hata hujajua unatakiwa kufanya nini, ni lazima uwe usha naza ili washawishi watu, ila kukusanya tu pesa then ndo mkae chini kujiuliza mfanye nini inakuwa ni ngumu sana, na unaweza ulizwa umetumia kigezo gani kusema ni 20 Milioni?

Na swala la kutafuta partners wa biashara ni ishu ngumu sana, ni sawa na kutafuta mwanamke wa kuoa.

Inahitajika umakini wa hali ya juu kabisa, ni lazima uwe unawafahamu vyema historia zao mwanzo mwisho, bila hivyo mparanganyiko ni lazima utokee

 
Ndg mleta mada Waswahili wanasema! Km hujui unakokwenda huwezi kupotea! so Ingefaa sana ww Ulie nawazo lakukusanya MTAJI inatakiwa pia uwe na WAZO la Project manake wazo ndo litakupa MTAJI kiasi gani unatakiwa manake kuwa na Mtaji Mkubwa C tiketi yakufanikwa ktk BZ Maana yangu ni kwamba ukishakuwa na wazo na Unapotafuta washirika Tayari uko na kitu chakuwashawishi nacho!
 
Kwa kifupi. Biashara ambayo ningeweza kuwashawishi kabla ya kuwasikia na wao wanasemaje, Ni REAL ESTATE B'NESS/Uagizaji wa ELOCTRONICS toka Nje na Kusambaza Nchini Kote. Pia Wote tukiwa Tunauelewa wa Maswala ya Fedha kwa Kiasi fulani, Pia Macro-finance nayo Pia ni Moja ya Biashara pia. Ungeekuwa nawe Willing kuwa Partner, Ungeshauri Biashara gani?
 
Back
Top Bottom