Wanaiba mabilioni kisha wanakwenda kugala gala kwenye matope wakimsifu Mama

Wanaiba mabilioni kisha wanakwenda kugala gala kwenye matope wakimsifu Mama

Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
Umeanza nongwa wewe!
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-065957.jpg
    Screenshot_20240925-065957.jpg
    378.1 KB · Views: 2
Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
In politics, truth is optional
 
Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
Hata wewe mkuu ungegalagala unaiba bilioni 10 hukamatwi lakini kuna VEO amekula mchango wa elfu 20 anafungwa, kwanini usilale kwenye matope? ukitoka hapo unapata V8 full tank unaenda na mpenzi wako kuoga five star hotel kwa pesa za wajinga
 
Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
Kama wameiba inabidi wapelekwe mahakamani.
 
Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
wanaiba wakati wewe umekodoa mimacho kama zuzu, right? au ulidhani ni movie?

useless and completely nonsense kabisa 🐒
 
Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
Na ukichukulia Eti Wazee wanaotegemewa kwa Hekima na Busara waliobakia na wanaopewa upendeleo maalum mmoja ndio anaonekana anaaminiwa zaidi ambaye muda sio mrefu uliopita alipotea kabisa au kupotezwa kabisa kwenye medani za siasa za Nchi 😳🙄 !

Duh 🙄 ! Waswahili Wanasemaga Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni au Farao !

Ngoja Tusubiri tuone ! Sisi wengine tulishajeruhiwa moyoni na awamu ile ya yule mstaafu !!
 
K
wanaiba wakati wewe umekodoa mimacho kama zuzu, right? au ulidhani ni movie?

useless and completely nonsense kabisa 🐒
Kwani nani awezaye kumfunga paka kengele Gentleman ???!!

Mitaala ya Elimu ya China 🇨🇳 itabidi na sisi tuiingize kwenye mitaala yetu Polepole ili nasi tuweze kuwa na Uzalendo wa Lazima kama walivyo wenzetu huko Beijing na Gwangzou !

Hapo ndipo hatutobaki tunawakodolea mimacho yale majizi yanayo kwapua Pesa za Nchi yetu !
Bali yatakuwa yanashughulikiwa kama huko kwa Mao Tse Dong , gentlemen !

Au nasema uongo ndugu zangunii ???!!
 
Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
Pata Picha sasa huyu ni ndugu yako.....
1739180240365.png
 
Back
Top Bottom