Umeanza nongwa wewe!Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
In politics, truth is optionalNchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
Kucheza na beatMbona kama walishauriwa wale kwa urefu wa kamba ? Kwamba wamekula mpaka wamekata na kamba tena?
Hata wewe mkuu ungegalagala unaiba bilioni 10 hukamatwi lakini kuna VEO amekula mchango wa elfu 20 anafungwa, kwanini usilale kwenye matope? ukitoka hapo unapata V8 full tank unaenda na mpenzi wako kuoga five star hotel kwa pesa za wajingaNchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
Kama wameiba inabidi wapelekwe mahakamani.Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
wanaiba wakati wewe umekodoa mimacho kama zuzu, right? au ulidhani ni movie?Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
Na ukichukulia Eti Wazee wanaotegemewa kwa Hekima na Busara waliobakia na wanaopewa upendeleo maalum mmoja ndio anaonekana anaaminiwa zaidi ambaye muda sio mrefu uliopita alipotea kabisa au kupotezwa kabisa kwenye medani za siasa za Nchi π³π !Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
Kwani nani awezaye kumfunga paka kengele Gentleman ???!!wanaiba wakati wewe umekodoa mimacho kama zuzu, right? au ulidhani ni movie?
useless and completely nonsense kabisa π
Walishauriwa wale kwa urefu wa kamba yao lakini wao wameongeza urefu wa kamba kwa kuunga kipande kingine.Mbona kama walishauriwa wale kwa urefu wa kamba ? Kwamba wamekula mpaka wamekata na kamba tena?
Kuna mambo yanaumiza sana ni basi tu.Hata wewe mkuu ungegalagala unaiba bilioni 10 hukamatwi lakini kuna VEO amekula mchango wa elfu 20 anafungwa, kwanini usilale kwenye matope? ukitoka hapo unapata V8 full tank unaenda na mpenzi wako kuoga five star hotel kwa pesa za wajinga
Pata Picha sasa huyu ni ndugu yako.....Nchi hii ni ya watu wa ajabu kweli kweli. Sisi viongozi tunaona fahari kusifiwa. Ni hatari sana kupenda kusifiwa. Hapo ndipo watu wanapoiba mabilioni mengi ili kukwepa mkono wa sheria wanalala kwenye matope wakimsifu Mama. Hii ndo Nchi yetu ilipofika kwa sasa.
Kwa hii katiba ya kijinga acha watu wapige pesaKuna mambo yanaumiza sana ni basi tu.