Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wanaishia IROKO channelBig names in the literal world, like Chimamanda Adichie go with big names in the acting sphere, like Lupita Nyong'o. Yaani walitegemea wale waigizaji wao na yale mawigi yao na makelelee waigize kwenye filamu ya Americanah, ambayo itakuwa ni production ya Hollywood? No way!
Big names in the literal world, like Chimamanda Adichie go with big names in the acting sphere, like Lupita Nyong'o. Yaani walitegemea wale waigizaji wao na yale mawigi yao na makelelee waigize kwenye filamu ya Americanah, ambayo itakuwa ni production ya Hollywood? No way!
MjaluoLupita ni Mtanzania.
Wanahoji ina maana Nigeria yote hakuna mmoja wao anayeigiza kama wao hadi atafutwe Mkenya...
Boss, hamna cha chuki wala nini Lupita Nyong'oStop hating mzee! I believe mbali na Lupita Nyong'o kwenye tasnia nzima ya burudani Nigeria wako mbele sana kuliko Kenya.
www.capitalfm.co.ke
😁😁😁 Hivi Kenya kumbe mna movie industry?Boss, hamna cha chuki wala nini Lupita Nyong'o
deserves that spot, thats a fact. Kama wametuzidi, sisi wakenya, kwenye burudani kwa ujumla ni sawa. Kwenye filamu, labda kwa wingi ila sio quality. Mwaka uliopita tuliwafunika kweli kweli kule kwao Lagos, kwenye tuzo za kila mwaka za filamu bora Afrika, AMVCA. Best actress(Nyce Wanjeri), Best overall movie in Africa(18Hours), Best indeginous language movie in Africa(Supa Modo) ambayo ilikuwa ya kiswahili. Best movie in E.Africa(18Hours), Best picture editing, zote hizo zilikuwa kutoka Kenya.![]()
Kenyans win big at the 2018 Africa Magic Viewers’Choice Awards, AMVCAs
It was big night for Kenya in Nigeria on Saturday, after bagging a total of 6 awards during the 6th Annual Africa Magic Viewer’s Choice Awards (AMVCAs). The prestigious event was held at the Ekowww.capitalfm.co.ke
Wazungu wanampenda sababu ni Lesbian /GayHuyu lupita anatoa sana papuchino huko mbele
She is an actress, kuigiza maana yake ni kuvaa uhusika ambao sio wako. Sasa shida ni gani.?Wanahoji ina maana Nigeria yote hakuna mmoja wao anayeigiza kama wao hadi atafutwe Mkenya...
Sawa mkuu, lakini binafsi sikuona umuhimu wowote wa kuwakashifu hao wanawake wa kinaija kwamba wanapiga makelele na kuvaa mawigi kisa tu unataka kufikisha ujumbe kwamba Lupita ni mwigizaji bora kuliko wao.Boss, hamna cha chuki wala nini Lupita Nyong'o
deserves that spot, thats a fact. Kama wametuzidi, sisi wakenya, kwenye burudani kwa ujumla ni sawa. Kwenye filamu, labda kwa wingi ila sio quality. Mwaka uliopita tuliwafunika kweli kweli kule kwao Lagos, kwenye tuzo za kila mwaka za filamu bora Afrika, AMVCA. Best actress(Nyce Wanjeri), Best overall movie in Africa(18Hours), Best indeginous language movie in Africa(Supa Modo) ambayo ilikuwa ya kiswahili. Best movie in E.Africa(18Hours), Best picture editing, zote hizo zilikuwa kutoka Kenya.![]()
Kenyans win big at the 2018 Africa Magic Viewers’Choice Awards, AMVCAs
It was big night for Kenya in Nigeria on Saturday, after bagging a total of 6 awards during the 6th Annual Africa Magic Viewer’s Choice Awards (AMVCAs). The prestigious event was held at the Ekowww.capitalfm.co.ke
Sawa mkuu, lakini binafsi sikuona umuhimu wowote wa kuwakashifu hao wanawake wa kinaija kwamba wanapiga makelele na kuvaa mawigi kisa tu unataka kufikisha ujumbe kwamba Lupita ni mwigizaji bora kuliko wao.
Halafu mkuu, kupata hizo TUZO chache hakutufanyi wakenya na watanzania kuwa sawa na wanaija kwenye tasnia nzima ya burudani, hapa barani Afrika. Inatubidi tukaze buti na tuachane na haya majungu yasiyo na msingi.
NB: Hata hivyo LUPITA ni Mkenya lakini ametokea kupitia Hollywood na siyo Kenyan Movie Industry: Hili tu linapasa kufikirisha.
Huyu lupita anatoa sana papuchino huko mbele