Ndio namsikiaWatz nikama hawamjuiView attachment 1208802
Ndio namsikia
Kama Lupita ni Mtanzania basi kichwa chako ni kibuyu cha kuteka maji.Lupita ni Mtanzania.
Movie industry ya Kenya sio akina Shimuleta ambazo mnaigiza huko.😁😁😁 Hivi Kenya kumbe mna movie industry?
Movie industry ya Kenya sio akina Shimuleta ambazo mnaigiza huko.
Hahaha, sasa mbona wakenya wengi wanapenda bongo movies.
Naona umeamka baada ya ban, natumai umejifunza kitu, ustaarabu ni jambo la maana, matusi hayajengi, hilo tusi ulimtukana Janerose mzalendo lilikugharimu.
Humu tunakuja kujibizana kwa hoja, lakini hatuchukiani....nothing personal.
Ulipewa ban ya siku ngapi ndugu? Mbona mimi huwa natusi watu na sijawahi pewa ban.Hahahah jifunzeni pia ustaarabu, ban kitu cha kawaida sana maana hakipunguzi kitu wala kuongeza chochote brathee,
Lete dharau unapewa moja kubwa.
Aisee! [emoji15] Okeeey, mwili ukikataa ndio huwa wanaanza kuimba .....tumekuja chokoza?Ni dhambi kuwa mmoja? Mwili ukikataa wanaume umekataa. You can't force.....
Ndio ni mtu wa shirati mkoa maraLupita ni Mtanzania.
Ulipewa ban ya siku ngapi ndugu? Mbona mimi huwa natusi watu na sijawahi pewa ban.
[emoji3][emoji3][emoji3] wajinga sana hawa majamaaWamesahau Lion King. Olga boys wako shot sighted sana
Haha ni tusi gani hilo hata mimi nijaribu kumrushia mtu nione kama nitapigwa ban kwani tusi zangu hazipigwi ban.Ya siku 3 tu,
Na hata sikutukana tusi kubwa [emoji3][emoji3][emoji3]
Badala ya kuharibia Lupita jina eti ni gay, kama unataka muhogo unasema unapewa. Ndume ni wengi humu.Relax.
Haha ni tusi gani hilo hata mimi nijaribu kumrushia mtu nione kama nitapigwa ban kwani tusi zangu hazipigwi ban.
Nimetukana akina joto la chizi na Mkikuyu akili punguani lakini sijawahi pewa ban. Kama waogopa basi niambie thread lenyewe ni gani niende kulitafuta.Ni hawajakuona bado au huwa Unatumia tafsida [emoji23][emoji23][emoji23]
Lol 😂 tusi gani hilo? Mbona sikuliona?Naona umeamka baada ya ban, natumai umejifunza kitu, ustaarabu ni jambo la maana, matusi hayajengi, hilo tusi ulimtukana Janerose mzalendo lilikugharimu.
Humu tunakuja kujibizana kwa hoja, lakini hatuchukiani....nothing personal.
Into a Tv series, with ten episodes. It will be a hit because of Lupita Nyongo's acting, offcourse.Americanah into a movie?
I can't wait to see how well will they adapt from the novel.
Nimetukana akina joto la chizi na Mkikuyu akili punguani lakini sijawahi pewa ban. Kama waogopa basi niambie thread lenyewe ni gani niende kulitafuta.