Wanaijeria walipiza kisasi na kuvamia Shoprite na MTN(biashara za waA.K.) jijini Lagos na Lekki, Nigeria

Wanaijeria walipiza kisasi na kuvamia Shoprite na MTN(biashara za waA.K.) jijini Lagos na Lekki, Nigeria

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Biashara za wasauz kule Nigeria zimepata pigo la hasara na uharibifu wa mali baada ya wanigeria wenye hamaki kufanya uvamizi. Supermarket za Shoprite na mali za MTN kwenye miji kama Lekki, Lagos na pia Ogun State zimevamiwa na mali ya hela nyingi kuibiwa na kuharibiwa. Huu ni muendelezo wa vurugu zinazoendelea A.K. dhidi ya wageni kutoka nchi mbali mbali za Afrika. Ambapo wanigeria kule A.K. ndio walioathirika zaidi. Lets all say NO to Xenophobia. Haina faida kabisa zaidi ya hasara na aibu kwa bara hili letu la Afrika.
 
Back
Top Bottom