Wanaijeria wanaofanya utapeli kupitia mtandao mwisho wa siku hukamatwa kupitia mitandao ya kijamii

Wanaijeria wanaofanya utapeli kupitia mtandao mwisho wa siku hukamatwa kupitia mitandao ya kijamii

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Wanaijeria wengi wana akili zinafanana wanapo fanikiwa kupata pesa za udanganyifu kwa njia ya mtandao ujikuta kutamba kwenye mitandao ya kijamii, kuonesha magari, pesa, nyumba,matumizi na n.k.

Huku wengi wakijigamba kama influencer, watafutaji wasiochoka.

Huko nijeria wanakamatwa kama kuku walivo kuwa wajinga na wale ma komedia wa najeria wengi ni matapeli.

Kwa hapa Bongo Watanzania wanao jiita wasanii jinsia ya kike ni wauza mbususu gredi ya transformer mpya kubwa inayofungwa kibaha.

images%20(84).jpg
images%20(85).jpg
 
Wanaijeria wengi wana akili zinafanana wanapo fanikiwa kupata pesa za udanganyifu kwa njia ya mtandao ujikuta kutamba kwenye mitandao ya kijamii, kuonesha magari, pesa, nyumba,matumizi na n.k.

Huku wengi wakijigamba kama influencer, watafutaji wasiochoka.

Huko nijeria wanakamatwa kama kuku walivo kuwa wajinga na wale ma komedia wa najeria wengi ni matapeli.

Kwa hapa Bongo Watanzania wanao jiita wasanii jinsia ya kike ni wauza mbususu gredi ya transformer mpya kubwa inayofungwa kibaha.

View attachment 2560486View attachment 2560487
Hawa wengi ni mashoga
 
Ukiishi nao ndio utawajua tabia zao no mafala tu wengi wao
 
Back
Top Bottom