Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
🤣🤣🤣🤣🤣 Upo sahihi kabisa. Yeye alete story za kugegeduana na za kuwaponda warembo atapata response kubwa tuuHuku wana jamii forums wanapenda topic za kugegedana tu[emoji41][emoji41][emoji41] Au nimekosea Mzee wa kupambania mzabzab na mkewe Kelsea
Pole......Nitapata tabu sana kwa hali hii, hata ninapohitaji kutiwa moyo, hamasa na ushauri juu ya jambo fulani, naishiwa kutazamwa tu [emoji24][emoji24][emoji24]
Hakika nimeumaliza mwendo
Nasubiri maoni:
We mwehu sina mume humu 😂😂Huku wana jamii forums wanapenda topic za kugegedana tu[emoji41][emoji41][emoji41] Au nimekosea Mzee wa kupambania mzabzab na mkewe Kelsea
Unanikana?[emoji41]We mwehu sina mume humu [emoji23][emoji23]
Ngoja nimpigie mama JUnanikana?[emoji41]
Kwamba Majay Tigo[emoji41][emoji41]Ngoja nimpigie mama J
[emoji16][emoji16][emoji16] Mama apandishe tu tozo kwa kweli, vijana wanawaza papuchi asubuhi asubuhiMwenzako huko kaweka uzi unaosema "Mwanamke mweusi ni mtamu kuliko mweupe" ana comments na view za kutosha tu.
Ndio nilikotoka huko nkaingia hapa 😂Mwenzako huko kaweka uzi unaosema "Mwanamke mweusi ni mtamu kuliko mweupe" ana comments na view za kutosha tu.