Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapumbavu na vichaa ni wengi tu wodi za kulipia kumbuka. Uchaguzi ni wa watu wa Kenya ww uko kijijini kwenu huko unahusika vipi ?. Fanya kazi acha papara na ujinga huo. Uchi huwezi kutembea hata wasipopata mshindi.Mzuka wanajamvi!
Raila Odinga akishinda huu uchaguz nchini Kenya natembea uchi siku tatu mfululizo halafu najiua.
Hafiii mtu hapa!
Nyinyi watu wenye upeo mdogo wa kufikiri mnakera Sana. Tuacheni sisi tuliobobea maswala ya geopolitics ikijumuisha bongo, Africa mashariki pamoja na maziwa makuu kwa ujumla Ruto ni muhimu Sana katika mustakabali wa ukanda huu.Wapumbavu na vichaa ni wengi tu wodi za kulipia kumbuka. Uchaguzi ni wa watu wa Kenya ww uko kijijini kwenu huko unahusika vipi ?. Fanya kazi acha papara na ujinga huo. Uchi huwezi kutembea hata wasipopata mshindi.
Mzuka wanajamvi!
Naapa Raila Odinga akishinda huu uchaguz nchini Kenya natembea uchi siku tatu mfululizo halafu najiua.
Hafiii mtu hapa!
Wee mwenyewe unaanika makalio Yako kwenye avatar yakoWapumbavu na vichaa ni wengi tu wodi za kulipia kumbuka. Uchaguzi ni wa watu wa Kenya ww uko kijijini kwenu huko unahusika vipi ?. Fanya kazi acha papara na ujinga huo. Uchi huwezi kutembea hata wasipopata mshindi.
I repeat shots fired,shots fired.Team alpha do you copy?911....we have a mental patient. Subject wants to walk naked very soon.
Huna akili.Nyinyi watu wenye upeo mdogo wa kufikiri mnakera Sana. Tuacheni sisi tuliobobea maswala ya geopolitics ikijumuisha bongo, Africa mashariki pamoja na maziwa makuu kwa ujumla Ruto ni muhimu Sana katika mustakabali wa ukanda huu.
[emoji15][emoji848][emoji3064]Mzuka wanajamvi!
Naapa Raila Odinga akishinda huu uchaguz nchini Kenya natembea uchi siku tatu mfululizo halafu najiua.
Hafiii mtu hapa!
Kuna mwenzio alifanya upumbavu Kama huu huu.Mzuka wanajamvi!
Naapa Raila Odinga akishinda huu uchaguz nchini Kenya natembea uchi siku tatu mfululizo halafu najiua.
Hafiii mtu hapa!
Alitekeleza?Kuna mwenzio alifanya upumbavu Kama huu huu.
Alitangaza kwamba Yanga ikiifunga Simba kwanza ataikana dini yake ya kiislamu Kisha atatembea uchi Kawe mpaka mwenge.
Yanga tukaifunga Simba mapema Sana......