Wanajamvi tunaomiliki gari tukutane hapa kwa kuuziwa spare

Wanajamvi tunaomiliki gari tukutane hapa kwa kuuziwa spare

Nova Co Ltd

Member
Joined
Jul 18, 2019
Posts
8
Reaction score
19
Wakuu habari , shukrani kwa mola muweza alie tukutanisha hapa, niende direct kwenye mada.
Changamoto ya spare haswa za Taa za gari , ni kama wimbo wa taifa maana kila mmiliki wa gari anakumbana nayo, katika mihangaiko yangu nilifanikisha kukutana na kijana wa kitanzania aliye fanikiwa kubuni teknolojia ya kuzalisha Lenzi za taa yoyote ya gari, ni tumaini langu kuwa kijana huyu kama angeweza kukutana na wafanya biashara na kushirikiana naye kwa kuigeuza teknolojia hiyo kuwa biashara ingekua jambo a msingi sana. Kijana mbunifu alifanikiwa kurusha kipindi kupitia TBC mwezi uliopita, Ofisi zipo Zanzibar ghorofa ya kwanza chuo cha Afya Mbweni na chuo cha Utalii Maruhubi (First floor Maruhubi SUZA)


Kwa changamoto yeyote kwa taa ya gari yako tujadili kupitia uzi huu tafadhali.
mawasiliano ya mbunifu ni 0745018405
Nime attach ushahidi wa picha, asanteni!!!!!1
 

Attachments

  • VID-20200124-WA0006.mp4
    13.4 MB
  • VID-20200726-WA0002.mp4
    3.8 MB
Mkuu uzi huu utumike pia kupeana connection za kupata spare mbalimbali za Magari.
 
Na sisi ambao tuliwahi kumiliki magari, ila kwa sasa tumefikia hatua ya kuyauza baada ya mafuta kupanda bei, tunaruhusiwa kuchangia chochote kwenye huu uzi?

Yaani kiukweli tumebakiwa tu na picha za ukumbusho za hayo magari yetu ya zamani.
 
Na sisi ambao tuliwahi kumiliki magari, ila kwa sasa tumefikia hatua ya kuyauza baada ya mafuta kupanda bei, tunaruhusiwa kuchangia chochote kwenye huu uzi?

Yaani kiukweli tumebakiwa tu na picha za ukumbusho za hayo magari yetu ya zamani.
KARIBU KIONGOZI
 
Mswaki wa 1JZ Mark II Grande cc2500 wauzwaje?
 
Na sisi ambao tuliwahi kumiliki magari, ila kwa sasa tumefikia hatua ya kuyauza baada ya mafuta kupanda bei, tunaruhusiwa kuchangia chochote kwenye huu uzi?

Yaani kiukweli tumebakiwa tu na picha za ukumbusho za hayo magari yetu ya zamani.
Nyinyi hamruhusiwi kwa sababu za kimsingi ni kwamba, mtareta mawazo negative
 
Back
Top Bottom