Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
fidia ya ardhi nzega tumepunjwa,tumelipwa sh, 150 tu kwa mita skwea moja badala ya rate inayotambulika rasm kwa hapa nzega mjini ambayo ni sh.5000, waziri tumemwandikia barua yapata miezi mitatu na nusu imepita bila majibu tunaomba msaada,tufanyaje?