Wanajeshi 212 wahukumiwa kifo huko Kivu kusini

Wanajeshi 212 wahukumiwa kifo huko Kivu kusini

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
350
Reaction score
576
Mahakama ya kijeshi, huko DRC, Kivu kusini, leo tarehe 14 Februari 2025, imewahukumu wanajeshi 212 kifo, baada ya kukutwa na hatia ya kukimbia adui,kosa lililotafsiriwa kuwa ni usaliti wa kiapo. Mbali na hukumu hiyo, wote wametakiwa kulipa faini ya dola za kimarekani, laki mbili. Mashitaka yaliyowakabili ni usaliti wa kiapo, wizi wa mali za raia, mauaji ya raia na kubaka wanawake.

Kuna wanajeshi 72 walioachiwa huru baada ya kukosekana kwa ushahidi, huku wengine 90 wakiwa na kesi kama hiyo hiyo huko mjini Uvira.

Hukumu hiyo ilitolewa, M23 ikiwa njiani kuelekea Bukavu mjini, lilipo gereza. Gereza hilo pia mpaka sasa haijafahamika kama wafungwa hawajatoroka.

M23, imekuwa ikisisitiza watu wabaki makazini kwao, wakiwemo askali magereza, kwa sababu inaheshimu katiba ya nchi yao, hivyo wafungwa waliohukumiwa, wanatakiwa kumalizia adhabu zao huko huko gerezani.
 
Mahakama ya kijeshi, huko DRC, Kivu kusini, leo tarehe 14 Februari 2025, imewahukumu wanajeshi 212 kifo, baada ya kukutwa na hatia ya kukimbia adui,kosa lililotafsiriwa kuwa ni usaliti wa kiapo. Mbali na hukumu hiyo, wote wametakiwa kulipa faini ya dola za kimarekani, laki mbili. Mashitaka yaliyowakabili ni usaliti wa kiapo, wizi wa mali za raia, mauaji ya raia na kubaka wanawake.
Kuna wanajeshi 72 walioachiwa huru baada ya kukosekana kwa ushahidi, huku wengine 90 wakiwa na kesi kama hiyo hiyo huko mjini Uvira.

Hukumu hiyo ilitolewa, M23 ikiwa njiani kuelekea Bukavu mjini, lilipo gereza. Gereza hilo pia mpaka sasa haijafahamika kama wafungwa hawajatoroka.
M23, imekuwa ikisisitiza watu wabaki makazini kwao, wakiwemo askali magereza, kwa sababu inaheshimu katiba ya nchi yao, hivyo wafungwa waliohukumiwa, wanatakiwa kumalizia adhabu zao huko huko gerezani.
Hivi hili haliwezi kuleta machafuko zaidi au hata kimataifa mbona wengi hivo halafu wanatetea nini kama sio hilo tumbo tumbo?
 
Mahakama ya kijeshi, huko DRC, Kivu kusini, leo tarehe 14 Februari 2025, imewahukumu wanajeshi 212 kifo, baada ya kukutwa na hatia ya kukimbia adui,kosa lililotafsiriwa kuwa ni usaliti wa kiapo. Mbali na hukumu hiyo, wote wametakiwa kulipa faini ya dola za kimarekani, laki mbili. Mashitaka yaliyowakabili ni usaliti wa kiapo, wizi wa mali za raia, mauaji ya raia na kubaka wanawake.
Kuna wanajeshi 72 walioachiwa huru baada ya kukosekana kwa ushahidi, huku wengine 90 wakiwa na kesi kama hiyo hiyo huko mjini Uvira.

Hukumu hiyo ilitolewa, M23 ikiwa njiani kuelekea Bukavu mjini, lilipo gereza. Gereza hilo pia mpaka sasa haijafahamika kama wafungwa hawajatoroka.
M23, imekuwa ikisisitiza watu wabaki makazini kwao, wakiwemo askali magereza, kwa sababu inaheshimu katiba ya nchi yao, hivyo wafungwa waliohukumiwa, wanatakiwa kumalizia adhabu zao huko huko gerezani.
Wachinjwe kama kuku, nani aliwaambia wajiunge na jeshi? Hamna mshahara wa Bure chini ya jua
 
Hivi hili haliwezi kuleta machafuko zaidi au hata kimataifa mbona wengi hivo halafu wanatetea nini kama sio hilo tumbo tumbo?
Ndo maana M23 inaposema inatetea haki za raia wote, inaiwia rahisi kupokelewa vizuri. Jeshi lina mambo yake, na hiyo kwao ni kawaida. Sema kutekelezwa ndo sijui. Lakini,wana bahati. Siku ya hukumu, wanafurumushwa. M23 nadhani labda wenye makosa wataendelea na adhabu zao, lakini waliokimbia vita, ni kama disata(aliekimbia kazi ya jeshi). Hivyo lazima wapewe mafunzo upya, warudishwe kazini
 
Wachinjwe kama kuku, nani aliwaambia wajiunge na jeshi? Hamna mshahara wa Bure chini ya jua
Mkuu, saazingine comments zako huwa nazishangaa isee!

Wakati wa vita ipo hivii?: wanaume wa umri flani, let say under 60 hutakiwa kujisalimisha kwenye makambi na kujiunga na jeshi utake usitake.

Hata vita vya Kagera ungewaona watu wamevalia 'combat' ungedhani wote ni regular soldiers, kumbe kulikuwa na mobilized kibao, ei: Police, Prisons, militians etc.

Usidhani hao wote walijiunga na jeshi kipenda roho.
 
Mkuu, saazingine comments zako huwa nazishangaa isee!

Wakati wa vita ipo hivii?: wanaume wa umri flani, let say under 60 hutakiwa kujisalimisha kwenye makambi na kujiunga na jeshi utake usitake.

Hata vita vya Kagera ungewaona watu wamevalia 'combat' ungedhani wote ni regular soldiers, kumbe kulikuwa na mobilized kibao, ei: Police, Prisons, militians ets.

Usidhani hao wote walijiunga na jeshi kipenda roho.
Ndio maana huko watu wakiambiwa wanapukutika kama sisimizi, wanabisha. Wazalendo ni raia wanaokusanywa. Anaejiamini kufyatua risasi,anapewa silaha. Asiejua chochote,mafunzo ni wiki au siku kadhaa. Hao hao,ndo wanaotangulizwa. Unategemea nini? Watu wengi wameshaona kama serikali ndo inawapeleka wanaume kufa.
 
Mkuu, saazingine comments zako huwa nazishangaa isee!

Wakati wa vita ipo hivii?: wanaume wa umri flani, let say under 60 hutakiwa kujisalimisha kwenye makambi na kujiunga na jeshi utake usitake.

Hata vita vya Kagera ungewaona watu wamevalia 'combat' ungedhani wote ni regular soldiers, kumbe kulikuwa na mobilized kibao, ei: Police, Prisons, militians etc.

Usidhani hao wote walijiunga na jeshi kipenda roho.
Walikuwa wapi kuondoka kama wakimbizi?

Kasome kitabu cha Che Guevara, alisema Wacongoman hawana Ari ya kujikomboa
 
Back
Top Bottom