Wanajeshi wa Ukraine walioko DRC watakiwa kuondoka

Wanajeshi wa Ukraine walioko DRC watakiwa kuondoka

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Kikosi cha wanajeshi 250 wa kulinda amani wa Ukraine wanatarajiwa kuondoka mashariki mwa DRC na kurejea Ukraine.
Tangazo hilo lilitolewa Jumanne na Umoja wa Mataifa.

Tarehe ya kuondoka bado haijatangazwa. Uondoaji huo pia utajumuisha vifaa na helikopta.

Hatua hiyo huenda ikawa na athari kwa kikosi cha kulinda amani nchini DRC. Hata hivyo wadadisi wanasema Ukraine haikuwa na budi ila kufanya uamuzi huo kwa ajili ya vita vinavyoendelea nchini humo baada ya uvamizi wa Urusi.

Mwandishi wa BBC Mbelechi Msoshi alituma taarifa iliyosheheni maoni ya wenyeji kuhusu uamuzi huo.

BBC Swahili
 
Kikosi cha wanajeshi 250 wa kulinda amani wa Ukraine wanatarajiwa kuondoka mashariki mwa DRC na kurejea Ukraine.
Tangazo hilo lilitolewa Jumanne na Umoja wa Mataifa.

Tarehe ya kuondoka bado haijatangazwa. Uondoaji huo pia utajumuisha vifaa na helikopta.

Hatua hiyo huenda ikawa na athari kwa kikosi cha kulinda amani nchini DRC. Hata hivyo wadadisi wanasema Ukraine haikuwa na budi ila kufanya uamuzi huo kwa ajili ya vita vinavyoendelea nchini humo baada ya uvamizi wa Urusi.

Mwandishi wa BBC Mbelechi Msoshi alituma taarifa iliyosheheni maoni ya wenyeji kuhusu uamuzi huo.

BBC Swahili
Hao lazima watatoroka walizoea kula bata Congo hawako tayari kwenda kupasuliwa na mabomu ya Urusi
 
Hao lazima watatoroka walizoea kula bata Congo hawako tayari kwenda kupasuliwa na mabomu ya Urusi
Hizi akili zingine bwana, unajua kazi ya mwanajeshi kweli? Ukishaingia Jeshini furahaa kubwa ni kuingia Uwanja wa mapambo...hiki ndiyo sababu ya wanajeshi kutumia WWW katika kuendesha maisha yao.
 
Hizi akili zingine bwana, unajua kazi ya mwanajeshi kweli? Ukishaingia Jeshini furahaa kubwa ni kuingia Uwanja wa mapambo...hiki ndiyo sababu ya wanajeshi kutumia WWW katika kuendesha maisha yao.
Hizo WWW ilikuwa kipindi lile cha Jeshi la Wakoloni wanajeshi hawana mke wala watoto yaani Jeshi la sasa ivi ulete izo WWW utajikuta pekee yako front wana wote wamedoj au wamekula OMO na TOSS
 
Kikosi cha wanajeshi 250 wa kulinda amani wa Ukraine wanatarajiwa kuondoka mashariki mwa DRC na kurejea Ukraine.
Tangazo hilo lilitolewa Jumanne na Umoja wa Mataifa.

Tarehe ya kuondoka bado haijatangazwa. Uondoaji huo pia utajumuisha vifaa na helikopta.

Hatua hiyo huenda ikawa na athari kwa kikosi cha kulinda amani nchini DRC. Hata hivyo wadadisi wanasema Ukraine haikuwa na budi ila kufanya uamuzi huo kwa ajili ya vita vinavyoendelea nchini humo baada ya uvamizi wa Urusi.

Mwandishi wa BBC Mbelechi Msoshi alituma taarifa iliyosheheni maoni ya wenyeji kuhusu uamuzi huo.

BBC Swahili
Good boys., nimeipenda hii, ukrein ni taifa la kuigwa dunia hii, natamani kuwa raia wa ukraine
 
Kwanini mkuu

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
I dont like killings., Ukrain wanapigania taifa lao kwa umoja wao, they are independent country., hawakupaswa kupigwa mabomu na kuuliwa kinyama., nchi yao haikuwa na vita, walikuwa wametulia asubuhi wakaamka wanapigwa mabomu kila upande, it is painful

Hakuna raia wa ukrain hata mmoja anayemlaumu rais wao, vichanga na wanawake wanauliwa mpaka wagonjwa hospitalin wanapigwa mabom

Hakuna sababu ya ugomvi na chuki za marekani dhidi ya russia Ukraine akawa ndio muhanga wa kuuliwa watu wao, na kutaka kuporwa dola yao , namchukia sana putin
 
Back
Top Bottom