Wanajeshi Wapewa adhabu za kinidhamu kwa kujichukua video wakiwa kazini

Wanajeshi Wapewa adhabu za kinidhamu kwa kujichukua video wakiwa kazini

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Inadaiwa Wanajeshi hao wawili, wa Kike ambao majina yao hayakuweza kujulikana mara moja walikuwa wanafanya kazi katika Ofisi ya Rais Uhuru Kenyatta zilizopo katika jengo la Harambee

Katika video hiyo waliojichukua, wanaonekana wakiwa sehemu kama ofisini na kisha mmoja anataja methali mbalimbali huku mwingine akijibu majibu yaliyoonekana ni ya 'utani' kwa ni hayakuwa ya kweli

Moja ya methali waliyoulizana ni ile "Asiyefunzwa na mamaye...." huku jibu la kweli likiwa ni "......hufunzwa na Ulimwengu" mwenzake alijibu kuwa "........mwache atafunzwa akiwa Kurutu". Kurutu ni jina linalotumika kumtambulisha Mwanafunzi wa Kijeshi

Baada ya video hiyo kusambaa na Wakuu wao wa kazi kuiona, inadaiwa Wanajeshi hao wameondolewa kwenye nafasi zao katika Ofisi ya Rais na pia wanakabiliwa na adhabu za kinidhamu
 

Attachments

  • W2-LtXlzvHhHWum6.mp4
    484.3 KB
Cheap internet inasumbua sana inafaa tupewe kama ile ya wenzetu wa kusini.
 
Political Correctness gone Wrong....,

Na huyu angefukuzwa kwa utovu wa nidhamu

1088196
1088199
 
Warembo kweli MK254 niweke kwa mmoja hapo,niwe shemeji yako

Ova
 
Inadaiwa Wanajeshi hao wawili, wa Kike ambao majina yao hayakuweza kujulikana mara moja walikuwa wanafanya kazi katika Ofisi ya Rais Uhuru Kenyatta zilizopo katika jengo la Harambee

Katika video hiyo waliojichukua, wanaonekana wakiwa sehemu kama ofisini na kisha mmoja anataja methali mbalimbali huku mwingine akijibu majibu yaliyoonekana ni ya 'utani' kwa ni hayakuwa ya kweli

Moja ya methali waliyoulizana ni ile "Asiyefunzwa na mamaye...." huku jibu la kweli likiwa ni "......hufunzwa na Ulimwengu" mwenzake alijibu kuwa "........mwache atafunzwa akiwa Kurutu". Kurutu ni jina linalotumika kumtambulisha Mwanafunzi wa Kijeshi

Baada ya video hiyo kusambaa na Wakuu wao wa kazi kuiona, inadaiwa Wanajeshi hao wameondolewa kwenye nafasi zao katika Ofisi ya Rais na pia wanakabiliwa na adhabu za kinidhamu
View attachment 1087489
Correction: Askari polisi, sio wanajeshi hawa. Ni wa kitengo cha "Administration Police" ambao ndio hulinda majengo yote ya serikali.
 
Back
Top Bottom