Inadaiwa Wanajeshi hao wawili, wa Kike ambao majina yao hayakuweza kujulikana mara moja walikuwa wanafanya kazi katika Ofisi ya Rais Uhuru Kenyatta zilizopo katika jengo la Harambee
Katika video hiyo waliojichukua, wanaonekana wakiwa sehemu kama ofisini na kisha mmoja anataja methali mbalimbali huku mwingine akijibu majibu yaliyoonekana ni ya 'utani' kwa ni hayakuwa ya kweli
Moja ya methali waliyoulizana ni ile "Asiyefunzwa na mamaye...." huku jibu la kweli likiwa ni "......hufunzwa na Ulimwengu" mwenzake alijibu kuwa "........mwache atafunzwa akiwa Kurutu". Kurutu ni jina linalotumika kumtambulisha Mwanafunzi wa Kijeshi
Baada ya video hiyo kusambaa na Wakuu wao wa kazi kuiona, inadaiwa Wanajeshi hao wameondolewa kwenye nafasi zao katika Ofisi ya Rais na pia wanakabiliwa na adhabu za kinidhamu
Inadaiwa Wanajeshi hao wawili, wa Kike ambao majina yao hayakuweza kujulikana mara moja walikuwa wanafanya kazi katika Ofisi ya Rais Uhuru Kenyatta zilizopo katika jengo la Harambee
Katika video hiyo waliojichukua, wanaonekana wakiwa sehemu kama ofisini na kisha mmoja anataja methali mbalimbali huku mwingine akijibu majibu yaliyoonekana ni ya 'utani' kwa ni hayakuwa ya kweli
Moja ya methali waliyoulizana ni ile "Asiyefunzwa na mamaye...." huku jibu la kweli likiwa ni "......hufunzwa na Ulimwengu" mwenzake alijibu kuwa "........mwache atafunzwa akiwa Kurutu". Kurutu ni jina linalotumika kumtambulisha Mwanafunzi wa Kijeshi
Baada ya video hiyo kusambaa na Wakuu wao wa kazi kuiona, inadaiwa Wanajeshi hao wameondolewa kwenye nafasi zao katika Ofisi ya Rais na pia wanakabiliwa na adhabu za kinidhamu View attachment 1087489