Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea wana jf ambao umri wetu umekwenda na mpka sasa hatujanya lolote ktk maisha hebu tupeane changamoto zinazotukabili
Mie bana nikikutana na watu wanaonifahamu huwa najificha au nawakwepa si mnajua tena Yale maswali ""siku hizi uko wapi""
Haya endeleaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie bana nikikutana na watu wanaonifahamu huwa najificha au nawakwepa si mnajua tena Yale maswali ""siku hizi uko wapi""
Haya endeleaa
Sent using Jamii Forums mobile app