Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Rais apunguziwe madaraka
2.mawaziri wote wasiwe wanasiasa
3.wakuu wa mikoa na wilaya wawe wenyeji wa eneo husiku na wasiteuliwe bali wachaguliwe na wasiwe wanasiasa
4.vipindi vya ubunge viwe vi2 tu miaka mitano mitano
5.matokeo ya uchaguzi wa rais yathibitishwe na mahakama ya rufaa au mahakama ya katiba
6.mikataba yote ya serikali ijadiliwe na bunge
7.wagombea wote wa kiti cha urais watakaopata asilimia tatu wawe wabunge