Wanajf mpo?

GRATION

New Member
Joined
Apr 25, 2012
Posts
2
Reaction score
0
Hi WanaJF,
nimeingia ndani ya ukumbi huu tuelimishane nisiyoyajua mnijuze na msiyoyajua niwajuze katika kila nyanja nami nina imani kubwa nanyi kwa ni Watanzania tuna hurka ya kupendana ndio maana tunakutana ndani ya ukumbi huu nisiwachoshe tutaendelea kufahamiana. Kwa wale Watani zangu wa jadi nawatakia kila la kheri.:israel:Wenu GRATION wa KIMARA STOPOVER
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…