ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Ni mwaka wa 18 naumwa tumbo linanikata na kuunguruma.Mara naharisha mara inakata.Hadi muhimbili nimefika.Dawa nimetumia nyingi hadi chumba changu kinaitwa minipharmacy.Kwa anayejua mitishamba anijuze please!!Kwani cha ajabu kila nikipima vipimo vinaonyesha malaria,amiba,minyoo au taifod na dawa natumia ila wapi!Nimeanza kutafuna vitunguu saumu ndiyo kidogo napata ahueni,ingawa si sana!