WanaJF tunaopendana tukutane hapa tuoneshane upendo

Aaah jukwaa la siasa stress tu kwakweli.

Yaani acha tu ban sio kabisa. Nikajua mzee kakaba mpaka penlt marufuku kuingia jf, maana mara ya mwisho ni ile tulikuwa tunawachamba watu walotushukia walimu kisa kile kitoto cha mbeya kuguswa tu!!!
Pole mpenzi.
Yaani kuna watu wako juu juu kuwachezea wenzao kindumbwendumbwe ili wapate ban
Mijitu hii inakera mpaka basi...unaomaa nao tu.
Potelea pote
 
Waaacha nilewe nilewe tyu

Niilewe nilewe tyu. ...nwawapenda woote afu miss chaga me sijui napenda au namtamani
 
Hahah nilisoma ule uzi wote nilicheka saana.

Kuna jamaa alisema mijitu inatusumbua na mitecno yao mikubwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa tecno zina mahusiano gani, au comment zake zinakuwa hazisomeki!!! Stress tu hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…