Cheka uongeze siku za kuishi.[emoji17]
Ndo atatupanga kama maboga ya msimu wa Ramadhan[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na wewe usipomridhisha!!!
Watoto ukiwaona utawajua??Tehteh
Upo wewe mtoto
Nini???[emoji115]
Wifi wa mimi hujambo?Afu Moderator wa Chitchat ukishiba daku sasa hivi, panda kitandani ulale.
Jana ulifuta baadhi ya comments humu.
Hakukuwa na tatizo lolote.
Mnatutafutiaga shari tu.
Duh...utaacha watu wapigane...maana mmwaaa ya wote ni ugomvi huo....chaguo mmoja tu umchumu[emoji38] [emoji38]Kwa yeyote anaesoma hapa!!!
Mmmmmwaaaaa! [emoji38]
Tupoooooo[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji41] [emoji41] [emoji41] mnaonipenda nawasubiri hapaaa[emoji575]
Ila mim nina kupenda hivo hvo hata kama wew huntakiHakuna ninayempenda humu
Uko makini sana aisee, ni wapiii alifuta???? Na kwa nini afute????Afu Moderator wa Chitchat ukishiba daku sasa hivi, panda kitandani ulale.
Jana ulifuta baadhi ya comments humu.
Hakukuwa na tatizo lolote.
Mnatutafutiaga shari tu.
Fanya mpango na mie niyapateYapo pia..
[emoji16] [emoji28] [emoji23] kama mie hapo! [emoji23]
My wi niambie?Fanya mpango na mie niyapate
Umeamkaje my wii... Na jog kidogoMy wi niambie?
Hee. Hongera sana my wi.Umeamkaje my wii... Na jog kidogo
AsanteHee. Hongera sana my wi.
Kweli kabisa my wi hongera mana kuacha kulala na kuufukuza uzee sio jambo dogo ati.Asante
Mazoezi kwa afya my wii, naufukuza uzee
HahahaKweli kabisa my wi hongera mana kuacha kulala na kuufukuza uzee sio jambo dogo ati.