WanaJF tunaoshiriki Kilimanjaro marathon tukutane hapa

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Wakuu kesho ndio ile siku ya kwenda ku-enjoy na kuburudika na kubadili mazingira mjini Moshi kwenye KiliMarathon. Binafsi hii itakua mara yangu ya kwanza kushiriki na hapa nimeshapack kila kitu tayari kwa safari mida ya mchana hivi. Nafurahi kwa sababu nakutana na wadau wengine kutoka pande mbalimbali za TZ ambao tutakutana jioni ya leo mjini Moshi. Nimepanga kukimbia mbio za Km 5 na nimeshalipa Tsh 4,000/. Kama nawewe ni miongoni mwa watakaoshiriki tukutane hapa tupeane mawazo na kama ulishawahi kushiriki tupia mauzoefu yako huwa inakuaje na nini kilikuvutia ama kukufurahisha zaidi.







 
unatokea wapi?

Km 5 ni run for fun
ambazo ni chache sana
kama upo imara ungejaribu 21

yote kwa yote utaenjoy sana
baada ya mbio pale beer na nyama ni kwa uwezo wako.
 
unatokea wapi?

Km 5 ni run for fun
ambazo ni chache sana
kama upo imara ungejaribu 21

yote kwa yote utaenjoy sana
baada ya mbio pale beer na nyama ni kwa uwezo wako.
Niko imara ila sijapiga zoez kitambo...sitaki nikimbie hadi nishindwe ku-drive back maana kesho hiyohiyo lazima nigeuke si unajua j3 kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…