WanaJf tupeane code sehem za Bata Christmas

WanaJf tupeane code sehem za Bata Christmas

Magari ya kukodisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2019
Posts
412
Reaction score
695
Wazee wenzangu
Wazeee wa bata
Wazeee wa location

Tuambiane sehem gani zinabamba kipindi hiki cha sikukuu

Bata yako utakulia wapi



Mimi leo niko slip way hapa nashangaa watoto wazuri

Krismas nitakuwa 5n
 
Hatuchagui kiwanja popote kambi.

Karibu tule bata.
 
Jamani poleni na mihangaiko ya kazi naamini mko salama. Naomba kuuliza tu sehemu nzuri za kuvinjari hapa Musoma msimu huu wa Xmas na Happy New year coz ndo nimehamia tu. NB; watoto wazuri wasikose ati. Nawasilisha.
 
Katika harakat za utaftaji nimepita mikoa mingi sana lakini sijabahatika kufika Musoma, lakini nimepata bahati ya kukutana na wanawake wanaotokea huko aisee wana vidude vitamu sana zaidi ya nguruka, natamani sana kupata nafasi nije kutembelea huko kiwandani nijue mengi zaidi.
 
Katika harakat za utaftaji nimepita mikoa mingi sana lakini sijabahatika kufika Musoma, lakini nimepata bahati ya kukutana na wanawake wanaotokea huko aisee wana vidude vitamu sana zaidi ya nguruka, natamani sana kupata nafasi nije kutembelea huko kiwandani nijue mengi zaidi.
😂😂😂daah eti Vidude!
 
Katika harakat za utaftaji nimepita mikoa mingi sana lakini sijabahatika kufika Musoma, lakini nimepata bahati ya kukutana na wanawake wanaotokea huko aisee wana vidude vitamu sana zaidi ya nguruka, natamani sana kupata nafasi nije kutembelea huko kiwandani nijue mengi zaidi.
Hapa pazito
 
Hasa Wadau mna piga soga badala ya kunisave mjuvi aje ati
 
Back
Top Bottom