WanaJF wa Kilimanjaro Hebu niambieni Kuhusu Hii Huduma.

WanaJF wa Kilimanjaro Hebu niambieni Kuhusu Hii Huduma.

Naisujaki Lekangai

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
1,340
Reaction score
1,377
Kwenye thread hii nawalenga wanajf wa mkoani kilimanjaro waliojiunga na Bima ya afya ya Jamii Afya inayosimamiwa na Vodacom na Jubilee Insurance.

Kwa mkoani kilimanjaro zimeteuliwa hospitali za binafsi (private) kutoa matibabu.Hakuna hospitali ya serikali iliyoteuliwa kutoa huduma hii. Kama wewe unayesoma thread hii umejiunga na bima hii mkoani kilimanjaro au popote hapa nchini, naomba unijulishe yafuatayo:
1)Je huduma za huu mpango unaridhisha? (ie customer care etc etc)
2)Huduma hii ina changamoto gani?
3) Mteja mtarajiwa ajiandae kukumbana na changamoto gani?

Asante
 
Back
Top Bottom