WanaJF waliojitoa na kutokuwa na imani na serikali ya JK


Hivi kumbe wewe huwa unafikiriaga hivi pia.Ila unadhani wewe kuwepo hapa JF kunarudisha maendeleo nyunma au mbele.Maanake labda umati unisaidie hapo,sioni fikra zako endelevu hapa.Now i know why we are still underdeveloped.
 
Ogah,

Code Zero amenipenda..ila kunilinganisha na hasara hakunitendea haki-🙂
 
Ogah,

Code Zero amenipenda..ila kunilinganisha na hasara hakunitendea haki-🙂

Kweli mkuu nakubali, wewe ulitakiwa ulinganishwe na watu kama kada mpinzani, Mtu wa pwani, engineer Mohamed na kibunango
 
WanaJF waliojitoa na kutokuwa na imani na serikali ya JK, Hasara nitakuwa wa kwanza kutokana na yanayoendelea katika uongozi wake, na kuwa na washauri wabaya.

Nimejitoa kuanzia leo.


Hasara

Hasira hasara. Rudi basi dear, au umejitoa roho kabisa?

Asha
 
Kweli mkuu nakubali, wewe ulitakiwa ulinganishwe na watu kama kada mpinzani, Mtu wa pwani, engineer Mohamed na kibunango

awali ya yote, wewe shalom una tatizo gani na jina langu?
 
Hee wee Mbalamwezi ndio Code zero!!!......duhhh


SALAAM MKUU, OGOH! Nnakumbuka enzi za bcstimes za akina ES,Mkandara,Sam,Kadogoo,Mafuchila.....and the like

Kulikua hakuna mambo haya ya hapa JF, ilikua jina moja password moja, na issue zakawa issue kweli!

Hapa nimekuwa ni msomaji tuu...kwani hii hali kama ULIYOMSHIKA NAYO UGONI "Mbalamwezi" aka "Code Zero" inatia kichefuchefu!

Watu wanaingia kwa majina ya "kupiga mande" majina matano mtu mmoja! HAKIKA NI UPUUZI!

Unaweza ukajikuta unachata'jibizana na mtu mmoja ukadhani na watu tofauti, Sheeeet!

JF inaonekana ina member lukuki kumbe ni kiini macho!

...HAYA MSEME MSEMAYO....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…