Daah kumbe Bilionea Asigwa na mwananzengo??Karibu Ng'ambo hapa nyuma ya Kitete Hospitali....
Mi nipo hapa nakula abuja kwa juma hapa bwawa la policeNipo hospitali ya kitete hapa
Duh, vipi hapo mitaa ya ziro ? Longtime mboka mzaz,,, patam sanaa hapo japo sio mie native wa hapoKaribu Ng'ambo hapa nyuma ya Kitete Hospitali....
Siku mitaa imepikwa mikeka mwanzo mwisho hapo town,,Nipo hospitali ya kitete hapa
Karibu Ng'ambo hapa nyuma ya Kitete Hospitali....
Tuliopo huku Ulyankuru (Kaliua) tunaruhusiwa kuchangia hapa au ni kwa waliopo mjini Tabora tu?
ulyankulu si kule kwa warundi?,niliwahi fika yaani kama umefika kwa kagame vileTuliopo huku Ulyankuru (Kaliua) tunaruhusiwa kuchangia hapa au ni kwa waliopo mjini Tabora tu?