Wanajichafua wakidhani wanamchafua

Wanajichafua wakidhani wanamchafua

KAKADO

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
230
Reaction score
336
Kumekuwa na Juhudi nyingi kufuta Mazuri yaliyofanywa na Hayati Magufuli,Jitihada hizi zinaonekana waziwazi hasa kutokutambua mchango wake kwenye Miradi aliyoiacha,

Katika Daraja jipya la Wami aliloliasisi tumeona mzinduzi alivyokwepa kutambua mhasisi dr Magufuli.

Katika ukaguzi Wa Meli tumeona walIvyochenga kutambua mchango wake.

Anachafuliwa kwakuitwa Dikteta;Dikteta kwakuwa alihakikisha watanzania wanapata huduma muhimu Maji,umeme usafiri,au ni dikteta kwakulinda Rasilimali za nnchi,huenda ni dikteta kwa Sababu aliziba mirija ya watu yaunyonyaji..

Hayati Magufuli kawaachia vyombo vyote vya usalama mnaweza kuvitumia kutuletea ushaidi wa Ubaya wake msijaribu kumchafua watanzania Wanaujua ukweli..

Magufuli anaishi Mioyoni mwa Waranzania,mnapomtamka kwa Mabaya hakikisheni mnajipima vizuri,Time will tell...
 
Mzilankende Mnyago Hachafuki Ametufanyia Kazi Kubwa
Kwasasa Kila Mtu Anataka Arudi Ingawa Haiwezekani
 
Magufuli amekufa mwili,he is a living spirit!!!
Ataitwa kila aina ya majina mabaya lakini miradi yake ni uthibitisho tosha kuwa tunaishi nae ndani yetu.
Kufa ni kufa tu muraa...kama hajafa basi akamtoe Sabaya gerezani..
 
JK naye alifanyiwa hivyo na mwendazake!
Halafu wakimaliza kumnanga wanakwenda kupiga picha kwenye miradi aliyoiasisi kama vile ni ya kwao.

Si waibomoe sasa wafanye yao??

Au waiache kabisa tujue moja.
 
Kuna kamsemo kubwa jinga. Yan nilikuwa nashangaa kwa nini hii. Sasa kumbe ukiwa mtoto mjinga una nafasi ya kuelimika. Kubwa jinga ni ngumu kuloelimisha.

Mfano utasikia kubwa jinga likisena 'mie sipandi mwendo kasi' ukiliukiza kwa nini? Kumbe halitaki tu. Kiko radhi lisubiri Lisaa Zima gari kituoni. Hajui kuwa mda ni Mali. .

Vijana kumbukeni mda ni Mali unaweza kuwa Huna Hela ila ukiwa na mda basi una nafasi kubwa ya kutengeneza pesa. Watu wa hovyo wakishika dhamana za wengine basi mambo yanaharobika. .
 
mbona kayafa yeye hakutaka kutambua mchango wa kikwete kwenye miradi mbalimbali alio iacha after all kayafa is past we focus on present SSH
 
Back
Top Bottom