Wanakijiji hukusanya vifuko vya nondo wa hariri ili kupata utajiri

Wanakijiji hukusanya vifuko vya nondo wa hariri ili kupata utajiri

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Wanakijiji wa Huanghe, Mkoa wa Guizhou, China, wanakusanya vifuko vya nondo wa hariri. Katika miaka ya hivi karibuni, tasnia ya kilimo cha majani ya folium mori na kufuga wadudu wa Hariri imeendelezwa kwa kasi, na zaidi ya wenyeji 1,000 wametajirika kupitia kilimo hicho.
VCG111390718854.jpg


VCG111390718866.jpg
 
Back
Top Bottom